SBL na TBL ziepoteza watu muhimu sana wa kutangaza ulabu hii mijamaa ilijuwa kutangaza bear kwa mbwembwe ,angalizo tunywe bear 2 kwa kila siku kwa masaa mawili au toti moja tu kwa siku ikibidi ichanganywe na limao na barafu
Fungu la kumi ,malimbuko ,sadaka za ujenzi ,sadaka kwa baba wa kiroho,sadaka ya umisheni,sadaka kwa masikini ,Toa mahitaji ya familia yako,angalia wazazi wako FANYA HAYA KWA MUENDELEZO hauitaji maombi hapa ni kutoboa tu .
Kutibu au kutotibu hakumfanyi mtu kuwa daktari wa binadamu zipo qualifications na unazifahamu .Pia jifunze kujenga majengo hakukufanyi kuwa mhandisi wa majengo,kufundisha hakukufanyi kuwa mwalimu nk.
Andaa mtoto wako kuwa kiongozi ,viongozi wanaandaliwa sio porojo Shetta aka baba Quila kamuandaa mtoto wake kuwa kiongozi baada ya miaka 20 utasikia majina yaleyale .Acha kulalamika andaa mtoto wako
Huyu umenyoosha ,wakati city kapigwa chuma mbili na astonvilla mechi ya mwisho na ushindi ni lazima kunyanyua ndoo ,washabiki wangeondoka sijui ingekuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.