Kuenda shule sio ndio kujua kila kitu; ndio maana nashindwa kuelewa position ya kiutendaji kwa PM na President, kwa uelewa wangu mdogo huo nlonao nlikuwa nadhani PM ananafasi kubwa zaidi kumshauri Boss wake badala ya kusema fulani alimpigia simu Mkuu na kuniambia niachane nayo, mmmmh umakini...
Mkuu kuona kwangu aibu hakutonisaidia mimi kujifunza lkn kukubali kufahamishwa mambo nisiyoyafahamu hii hunisaidia zaidi kuliko kujifanya mjuzi wa mambo wakati mengine siyajui na huwa daima naamini ktk kujifunza zaidi
Huo utakuwa unyimi wa ujuzi wa mambo, we unadhani walokufanya ujue undani wa jambo hili wangekupotezea ungelijua vipi kama si kwamba nawe ungeendelea kulibeza kama walivyokuwa wanafanya wengi wetu; tupeane elimu na tusinyimane elimu ya mambo yatuhusuyo na wala hatupaswi kuchoka maana kila mmoja...
Okay, naanza kuelewa sasa sio watanzania wote tunauwezo wa kupambanua kila herufi na hii ipo ndio maana hata darasani mwalimu hutumia namna mbadala ya kumfanya mwanafunzi aelewe kwa wepesi; hii ina maana kwamba tunatofautiana uelewa, Asante kwa kunielewesha.
Wadau Habari; jana ilikuwa siku ya kipekee sana kwa historia ya Tanzania ambayo tuliahidiwa na tuliisikia minong'ono mingi na tetesi za kila leo juu ya kuhama chama kwa aliyekuwa mgombea urais kwa tiket ya CCM ndugu, EL.
Binafsi nampongeza kwa kuitumia haki yake ya kidemocrasia na kufanya...
Hii kitu inategemea na mila na desturi zetu mbalimbali, miezi mi5 ilopita mie nlienda kusalimia ukweni kwa mara ya kwanza rasmi baada ya harusi kupta kama miezi 8 hivi; na pasina shaka nkafikia ukweni yapata siku 3; niliporudi ktk story za kawaida siku 1 nkajikuta tumeongelea jambo hilo, rafiki...
Hahahaa hapo Rais utamuonea tu, hakuna nchi ya namna hiyo chini ya jua; uwajibikaji wa dhati ni muhimu kwa mtu awaye yote ktk nafasi yoyote, kwa jambo hili sijui Rais una mlaumu vipi labda uiweke bayana ili tuelewe vyema!!
Ni kweli lkn pia inategemea na aina ya pistol; kama ni Revolver hyo haina Usalama, lkn pia kama ni hizi pistol zenye usalama hapa ni dhahiri kwamba silaha risasi iliwekwa chamber and bad enough ni kwamba askari huyu alisahau kufunga usalama au hakufunga kimazoea.
Lkn swali langu ambalo napata...
Kwahiyo ukiwa unaendesha gari siku zote O/D ikiwa On Kwa maana ya kuifanya gari ichague yenyewe gia sahihi kwa wakati husika;je kuna madhara yoyote kwa chombo husika?
Asanteni wadau wote kwa michango yenu makini mloitoa hapa jamvini kwa kunipa darasa mimi na wale wenzangu tulokuwa hatulijui jambo hili kwa usahihi wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.