Nimefurai saaana na huu umoja wa wabunge wote baada ya nusu saa turejee bungeni lazima kuna kigogo ataishia na hii kamati haponi mtu kabisa. Kinana tumbo joto
Lembeli na hii taarifa itaondoka na vigogo lazima nia mateso makubwa yamefanyika ktk ile operesheni tokomeza ujangili jamani km hatupo tanzania hawa maccm ni manyama nn
He is grt thinker na nina uhakika ikiwa anaongea bungeni mambulula ya ccm wengi huwa hawaelewi ndio maana wanaishia kutoa vijimbe dhidi ya lissu sio hoja alizotoa maana wanatoka kapa km waliochora zombi kidato cha nne necta.
Ni vizuri wanajionyesha ujinga wao wakibaki peke yao na hawana hoja za wananchi wao bali hoja zao wanasubiria kutoka upinzani hasa chadema ndio wajibu km jana. Mara nyingi hawa maccm wakibaki peke yao ni ujinga na aibu utawala pungeni na wakiongozwa na baraka za kiongozi wa bunge. La msingi...
ni kweli umenena mke wake wa mwanzo na alizaa nae alimwacha na akaopoa mwanafunzi wake na walifunga harusi mwaka jana km sio juzi hapo mlimani city.. Kutoka udsm mpaka tcu hadi katibu mkuu ni fadhila za kujuana na kawambwa na hata tume ya kuchunguza matokeo mabovu ya kidato cha 4 sifuni alikuwa...
Hili ni kweli kabisa ndio linatokea kila mahali kwa sio huko bukoba tuuu madai yao mlei km alikuwa anajulikana sana na wanajumuiya. Mbona kuna waumini wazuri sana lakini mungi akiwachukua mazishi kumpata pandri ni km hongo mara mchango wa mafuta ya padri lasivyo haji na bahasha ya kumpa padri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.