Hivi unadhani nini maana ya kuacha adress yako pale 2lia kama ukiona kimya ujue haupo na unaweza kuitwa na ukapigwa chini we endelea kujipanga jinsi ya kutoka lasivyo mtakua mnalalamika dairy afu ambao hawana ajira kama wewe wpo kibao au unadhani mliapply 10?
katafute form four failure uende nao c hatuna habareeeee afu tena tuwachangie imekula kwenu mazima wa tz sahv wameamka co wale wa miaka ya 90 kwenda shule na kopo la maji na mbolea sahv ni mwendo wa xul bus huku unang,ata popcorn
DUH wengine tnapenda wanaodeka na kama mwanaume udekezi lazima si wenye swaga zetu tukutafunie yani we utakua unapga mswaki bila whitedent ndo nyie mnao pigiwa simu afu unangalia salio kama umepiga wewe vile. usiwaze jifunze kudekeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.