Katika maswali yako ukiondoa wale wa kujiuza yaan anakuwepo na wewe kwa maslai either kwa siku moja au kila ukimhitaji unaweza ukajibu maswali yako na still majibu yakawa tofauti ila kinyume na hapo ishu ya mapenzi ni emotional sana hivyo inategemea na thinking/feeling, mtu anajali nini katika...
Simu nyingi siku hizi naona zinakuja na feature za kurecord screen, jaribu kusearch ila km haina basi nenda playstore or appstore kisha search screen recorder na angalia yenye downloads nyingi na soma reviews za users wanasemaje kisha unafanya maamuzi ya kuchukua yenye downloads nyingi na users...
Mkuu safi sana umejibu vizuri sana...yaan Africa baada ya kukaa chini na kujiuliza tutafikia vipi waliopo wenzetu eti always tunawaza kukwamishwa tu, sasa ww vifo hao watu watatu eti anakuja na conclusion kuwa wanahujumiwa, vipi black ambao wana power na wapo hai mbona haongelei, vipi white...
Ingawaje bado maamuzi ya mwisho juu ya hili yako juu yako ila for sure huyu hana nia nzuri na ww na ukichunguza kwa undani nahisi kuna kitu ameahidiwa na X wake so huenda kwako anazuga kusikilizia na ndio maana kwako yuko robo robo.
Still nadhani una nafasi nzuri ya kusubiri utakayematch naye...
Always usiamini kitu ambacho ni processed...if it's man made don't eat...viwandani hata km unaona ni mazima ila ukweli halisi kuna madude mengi ndani yake ambayo ni artificial
Always usiamini kitu ambacho ni processed...if it's man made don't eat...viwandani hata km unaona ni mazima ila ukweli halisi kuna madude mengi ndani yake ambayo ni artificial
Ila bado hayuko direct...kipato cha laki 7 haitoshi kushauriwa....aseme akishatoa matumizi yake mengine anabakiwa na kiasi gani na watu ndio wamshauri based on anachobaki nacho kwa ajili ya gari.
Mia 7 hiyo hajatoa chakula, malazi km analipa kodi, maji, umeme n.k na baada ya kutoa kwa mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.