Mkuu Chasha,
Uzoefu ni mwalimu mzuri just do it utajua gharama halisi na taratibu zote zinazotakiwa.
Na from my advice fanya clearance mwenyewe tafuta agent wakupitishia docs zako kisha ingia kazini.
Tusijenge uwoga kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe na pia tujenge spirit ya kuwaamini...
mkuu,
Hiyo ndo kazi yetu.Karibu sana hapa Express chartering and shipping ltd.Tuko Samora Tower, posta mpya hapa dsm.
Zaidi ni pm tubadilishane uzoefu.
Nimependa jinsi ulivyo na ujasiri wa kuelimisha na kusimamia hoja.Hii ndio elimu yenyewe na wala sio upofu wa kutafuta vyeti bila kuwa na kitu kichwani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.