Search results

  1. Kiona

    RPC wa Geita (Mponjoli Mwabulambo): Siwezi kuwaomba radhi CCM (Kukamatwa kwa Mbunge Musukuma)

    Inaonyesha kabisa huyu RPC ameshajijenga haitaji pension kuanza msingi
  2. Kiona

    Makonda: Ningekuwa na uwezo ningewafukuza kazi maofisa biashara wote Dsm!

    Hivi unamfukuzaje graduate kazi
  3. Kiona

    Jerry Muro: Tusipojirekebisha tutatafuta mchawi bila mafanikio

    Jerry Tangu akamatwage ile ishu ya rushwa amekua Kama kanga na sidhani Kama kuna nafasi ya UDC iko wazi
  4. Kiona

    Wanasiasa vijana: Maghembe Jr Vs Malecela Jr ( aka Le mutuz)

    Mbona mnafananisha moshi na upepo? Moshi unavuka penye moto upepo unavuma bila uelekeo maalum na mara nyingi upepo unaambatana na taka na vumbi. Moshi unaheshimika kidogo manake ukishindana na moshi utaishia kutoa machozi. Nikirudi kwenye mada ni kwamba Magembe Jr is more matured with valid...
  5. Kiona

    Yametimia: Wote tunaungua, hakuna cha CCM, CUF wala CHADEMA, kichapo cha maisha ni wote

    Hali ni mbaya watu hawana hamu. Ukiona wakina mama wanalamika basi jua hali imekaba
  6. Kiona

    Niko Mpaka wa Namanga, kwakweli hali ni mbaya

    Raisi alisema tuumie sasa hivi ili tune eke baadae[emoji848]
  7. Kiona

    Muonekano wa ndege ya pili ya Air Tanzania tayari kwa kuja nyumbani

    Ndege aina ya jet engines hazifai viwanja vya vumbi. So nafikiri walizingatia niwanja tulivyo navyo vya vumbi ndo wakaona walete pangaboi. Dash8 400 series Kama sijajosea inabeba watu 52. Sasa sijui zitakua zinaenda nje wapi.
  8. Kiona

    CONSPIRACY: Kuna uhusiano gani kati ya jaribio la nyuklia la Korea Kaskazini na Tetemeko la ardhi TZ

    Ina Maana movement na friction za tectonic plates zinahusiana vipi na nuclear bombs
  9. Kiona

    Dr. Slaa avuliwa nguo, dili alilipanga Josephine. Alonga na Mwakyembe kabla hajaingia kwenye mkutano

    Kazi ya mungu ilimshinda na siasa pia imemshinda basi ajaribu kilimo
  10. Kiona

    Hatimaye TBC warusha live mkutano UKAWA

    Hasira za wananchi zinazidi kupanda na huu ujinga. Kukata umeme una madhara mengi sana kwa watu. kitaeleweka tu
  11. Kiona

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    Nimesoma Pumba hapa
  12. Kiona

    Ukweli kuhusu hafla ya Kikwete, Magufuli na wasanii huu hapa

    Acheni uzushi watu walienda kutafuta totoz
  13. Kiona

    Tundu Lissu: Kwanini sikumpokea Lowassa, adai ndiye mwandishi wa Orodha ya Mafisadi

    Hebu mgonjwa atulie dripu iingie bila hivyo ugonjwa utawatafuna
  14. Kiona

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Mara nyingi konda wa basi akikushusha njiani porini huwa mara nyingi utapata lifti gari kutoka kwa gari jingine na lile basi utalipita njiani. Lowasa kashuka kwenye Leyland Victor kaingia kwenye Scania 94H
  15. Kiona

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    Chadema ni kama kuendesha baiskeli. kupata balance lazima uendlee kuendesha kwa kunyonga pedo. We have the balance we needed
  16. Kiona

    Kahama: Watendaji wa Lembeli, wanadi mkutano wa Tundu Lissu

    Itakuwa shida sana kwa sisiem kama Lembeli atashinda Kahama mjini
  17. Kiona

    Bunge laahirishwa ghafla tena, Wabunge 11 wa Upinzani wahojiwa na Kamati ya Maadili

    Sijui kama katika maisha yangu nitakuja kuona bunge kama hili tena. naomba mungu lisinitokee tena
  18. Kiona

    Escrow: Stanbic Bank yakwama kutaja majina,yatimua wafanyakazi kadhaa

    Stanbic siyo benki kabisa imejaa vijana wadogo wadogo wengi wezi.
  19. Kiona

    Tafakuri yangu: Waislamu wanaonewa au wamekosa elimu?

    Hivi JK si alisoma mission? nakumbuka pale Tabora aliwaambia washika dini kwamba wafanye mkakati kwanza wa kujiendeleza kielimu na wajenge shule nyingi ili waweze kuchuana na upande wa pili. kilichotokea ni kwamba wale watu walifoka sana kwamba raisi kasema hawana elimu
Back
Top Bottom