Wanabodi Muundo wa wizara ya TAMISEMI ulivyo unaanzia kwa Rais mwenyewe kama waziri Mwenye mamlaka ya hii wizara.
Kwamfano mamlaka ya kuteua baadhi ya nafasi Huko halmashauri yapo Chini ya waziri na Rais anateua hizo nafasi kwasababu yeye ndo mwenye dhamana ya wizara.
Hivyo maamuzi yeyote...
Natafuta mtu confident, smart kichwani and good looking ambaye atasaidia kukuza kampuni yangu. (Ladies are more encouraged)
2018 nilifungua kampuni mpya ambapo nimepata contracts 2 mpaka sasa nimeona kuna room kubwa ya kukua. Nomba kupata marketing officer ambaye atakuza kampuni hii. Nitampa...
Mimi nimezaa na Dada mmoja ambaye tulikuwa kwenye mahusiano ya muda baadae tukaachana, kwa saa kila mtu anaendelea na maisha yake.
shida iliyopo ni kuwa huyu mzazi mwenzangu hataki nimchukue mtoto hata kwa dakika, na mtoto anaishi na wazazi wa huyo dada na wzazi wake haniruhusu kumchukua...
Nina business yangu ambapo kuna dada mmoja ni incompetent sana. Nataka nimfukuze kazi shida ndo sehemu anategemea na hana pengine pa kupata kazi.
Nifanyeje wakuu nimtoe kazini.
Jamani mwezi ujao nafunga ndoa naomba msaada wapi ntapata hii suit na gauni zuri la harusi mi npo mikoani ntafute kwa namba hii 0766568609
Naomba suggestions zetu na more input jinsi ya kupendezesha siku hiyo.
Hii barua iliandikwa na mfungwa wa madawa ya kulevya huko Hong Kong lakini serikali ya Kikwete haijawai kuifanyia kazi barua hii, nashangaa kwanini mpaka sasa ndo ifanyiwe kazi.
Barua inaeleza jinsi vigogo wa serikali walivyo washriki wakuu kwenye janga hili la madawa ya kulevya, je ambao...
kichwa cha habari kinajieleza hapo juu
kama una 1. haematology machine
2. biochemistry machine
3. centrifuge
4. and more
tuma sms 0766568609 nipo mwanza
Habari wanaforum,
Mimi na mwenzangu tumebahatika kuwa na mali kadhaa lakini wakati wote tumekuwa tukiandika majina yangu bila yeye kusema chochote.
Nimekuwa nikisikia marafiki na ndugu wakiandika majina mawili kwenye mali zao ya mwanaume na mwanamke jambo ambalo mimi nilishangaa sana...
halo. natafuta demu awe anaishi mwanza... umri over 30 mnene au mwembamba safi.
nayeye awe anijiweza. sio kwa ajili ya kunitunza bali nimechoka na under 30 wananyonya hela hao kama anopheles mosquito.
First family ya Senegal ikiwa rais mkewe na watoto wake watatu imempokea first family ya USA ikiwa na obama mkewe na watoto wake wawili.
Watanzania tunasubiri kwa hamu kuona first family ya Rais kikwete yenye Rais, mke watoto 11 bila kuweka wa mbunge yule mwimbaji. itakavyo ipokea first...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.