Nakupongeza mkuu kama na we ulishafikia hatua ya kumkubali kijana nikikumbuka mlivyokuwa mnatifuana kule kwenye ule uzi wake wa maswali juu ya Ujasiriamali nabaki mdomo,kukubalu hali halisi ni nzuri sana Hongera mkuu!!
Unamaanisha anataka utumie lot size ya 1.0? Duh mbona hatari hii kama ndivyo ulipaswa usome kwanza maelekezo yake na huduma anazotoa kuliki kuingia tu na kuweka hela bila kucheki reviews zake........kama ndivyo msikilize jamaa na ufuate maelekezo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua mkuu nilichokigundua hii kazi kufanikiea ukiwa na mtaji mdogo ni ishu sana,maana ikitokea news tu moja yenye nguvu unaunguza akaunti
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wenzetu wenye uelewa mkubwa na wa muda mrefu chini ya $500 au $1000 hawawezi kutrade kwa sababu wanaamini ukiwa na pesa kidogo uwezo wa kucontrol risk ni mdogo mnoo,kiasi kikubwa ukiwa na $100-400 uwezekano wa kupoteza ni mkubwa mnoo.........na hii ni kweli maana huku sisi wenye mitaji...
Hizo unajaza na wanatumia taarifa za akaunti ya benk yako ya hapa kama uthibitisho kwao kama unavyoenda na barua ya Mtendaji kwe hizi benki zetu kufungua akaunti.........sijui umenielewa hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.