Mayai ya Kisasa yanapatikana kwa wingi Jumla na rejareja ( Jumla ni kuanzia trei 70). Tuma meseji kwenye inbox tuwasiliane.
Jumla 7000 -7500 kwa tray, 8000 bei ya rejareja
Habari wadau.
Natafuta kununua pumba za mahindi kama magunia 50 kwa bei ya jumla. Naomba mnielekeze viwanda hapa dar ea salaam, napoweza kupata kwa haraka. Asanteni
Wana JF naomba msaada wenu.
Ninafanya utafiti wa biashara ya kutengeneza siagi ya karanga. Nimerithi mashine ya kutengeneza peanut butter ila sina ujuzi wa soko hasa la Dar es Salaam. Mimi naishi hapa Dar.
Naomba mtu yeyote anayeujuzi wa hii biashara anisaidie kujua yafatayo;
1. Wapi nitapata...
Naomba ushauri...Boss wangu ameongeza account ya Administrator on my laptop. So my laptop has now 3 accounts; Administrator; My Account and the Guest Account.
What does Administrator Account mean?
Administrator ataweza kuona private Files zangu saved on my laptop? maana kama kawaida nimeweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.