Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana (BASHITE) ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika (AMIRI MKUU) kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji...
Hakuna ushahidi wa kisayansi unaothibitisha kwamba matumizi ya pombe kali kama Konyagi au K Vant huongeza uwezo au muda wa kufika mshindo wakati wa tendo la ngono. Kinyume chake, matumizi ya pombe kwa kiasi kikubwa mara nyingi yana madhara kwa afya ya ngono. Pombe inaweza kusababisha kupungua...
Aisee hii thread inamtesa mno OKW BOBAN SUNZU , kungekua na option ya ku delete threads angeshaifuta hii kitambo. Its a pain in the ass that will haunt him as long as this thread lives.
Dont take that path. You know the problem? You have lost your frame and your masculinity. Work on that, regain your manhood frame, and your woman will respect you again. Otherwise, its a lost battle.
Yaani mkuu umepiga mule mule, sahihi kabisa, hao kuku inabidi uwe una import kutoka South Africa, na sio utumie local chicken. The same for viazi pia, you will have to import them, sio utumie viazi vya kutoka Kawetere na Tukuyu. Hapo tu kuna cost implication ya kutosha.
Shotocan
Tuwekee costs sahihi mkuu, mimi kwenye kuchimba ndo nimepata hizi, na nimeambiwa the figures ni around humo humo, hata kama itakua pungufu tofauti haitakua kubwa kivile, sababu hapo cost kubwa ni ya franchise fees pamoja na training fees, maana itabidi watu wa KFC waje wakae kwenye hiyo branch...
Angalia taarifa kuhusu hatua za kuanzisha tawi la KFC hapa chini:
About KFC franchise
When one thinks of the best restaurant to get crispy and freshly-made chicken, the mind instantly goes to KFC. It is one of the giants in the fast food industry. And, the brand’s logo with Colonel Sanders on a...
Huu uzi ni kati ya nyuzi bora kabisa za muda wote hapa JF. This is a living thread, mkuu The Boss hapa uliandika kwa kweli. Kila baada ya muda huwa naurudia huu uzi, yaani hau expire kabisa. Kudos!
Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.
Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!
---
Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara...
Wakati nasoma shule ya msingi, wavulana tulikua na tabia ya kuja na vipande vya vioo vidogo shuleni, kisha tunavizia wadada na kuwachungulia kwa kuweka kioo chini ya miguu yao, tulikua tunajiona wajanja sana kufanya hivyo, ila sasa hivi nikifikiria hicho kitendo, naona tulikua tunafanya...
Acha kulia lia, hujaletwa duniani humu uje kulia lia hadi siku zako ziishe. Hebu man-up, kuwa strong. Jua kwamba UNATAKA nini, halafu fanyia kazi kile unachokitaka kwa nguvu zote 100%, lazima upate mafanikio. Umeandika hapa maneno mengi, lakini hujaeleza hasa unataka nini...?
Unataka nini...
Poleni sana.
Fungueni shauri Commission for Mediation and Arbitration (CMA) haraka sana.
Website yao ni hii hapa kwa taarifa zaidi:https://www.cma.go.tz/
Pia, wamemuweka huyu hapa chini kama contact person wao kwa Dar es salaam, unaweza kumpigia pia maana ni muwakilishi wa CMA Dar es salaam...
Pole kwa shida anayopata mtoto.
Tatizo linalomkabili dogo ni gesi iliyozidi tumboni ambayo anaimeza wakati wa kunyonya maziwa, sababu kubwa inayosababisha mtoto ameze gesi nyingi wakati wa kunyonya ni poor positioning ya mtoto wakati wa kunyonya kiasi cha kusababisha gesi nyingi kuweza kupita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.