Naomba msaada wa kujua namna mtu anavyoweza kufuatilia zawadi anapocheza kupitia link > shindaiphone.ml na kupata matokeo ya HONGERA kuwa ameshinda iphone 6. Yeyote anayefamu kuhusu jambo hili naomba anielimishe!
Watanzania bado si waelewa wa nini wanachohitaji, watakipataje na changamoto za kufikia maendeleo. Wamekaririshwa nyimbo kuimba "tunataka mabadiliko" bila hata kuelezwa sera za kufikia mabadiliko.
Naomba kusaidiwa kwa hili,
Ni kwanini gharama za meseji zinazotumwa kwenda namba zinazoanza na 15.
Mfano 15678, 15599 n.k ni kubwa kuliko zile za mfumo wa kawaida wa namba za simu?
Kwanini vifurushi vya SMS pale ujumbe unapotumwa kupitia namba hizi?
MWENYE UELEWA WA JAMBO HILI ANISAIDIE
Kila Mtanzania ameona na kusikia jinsi Wana-UKAWA wanavyoteswa na UROHO wao wa kulazimisha kutawala, wakatengeneza Mfumo wa kutafuta kuungwa mkono wa hotuba za kashfa kwa Serikali na kushawishi wananchi waamini kuwa kwao ndiko Paradiso.
Kama walizunguka nchi nzima wakitangaza kuwa Lowasa...
Huwezi kusifiwa hilo kwani huo ni aina mojawapo ya matendo machafu.
Serikali iliachana na mashirika ya Umma, ikayabinafsisha.
Na wewe jibinafsishe kwa mmoja tu.
Tunafurahi kuwatangazia Walimu Wastaafu wote katika Mkoa wa Shinyanga kujiunga na "Umoja wa Walimu Wastaafu_Shinyanga.
Upatapo taarifa hii, mjulishe Mwalimu Mstaafu aliye Jirani yako.
Kwa maelezo na maelekezo piga simu namba:
(1) 0674 164 705
(2) 0757 486 861
(3) 0786 744 184
KARIBU SANA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.