Mambo mengine niyakukaa kimya tu kama mtu anachakuongea
Sio kilakitu mtu anaweza ku expose kwa kila mtu hasa mtandaoni ila usichokijua ni usiku wa kiza maan uchawi upo na kama uchawi upo basi na Mungu yupo
Nashaa anajibu comment za wengin kam vle aon zang
Wewe kama umeandika makala hii kupata comments au likes sawa ila uwezi pingana na kweli ya Mungu siku akijifunua kwako wewe njoo bila aibu comment na wewe kama sisi na ueleze ukweli
Sio leo umeshiba zako kiporo cha makande the unakuja kuropoka kosa ni mzima unatembea unahema unashida yoyote
Ndugu yangu mimi nimesoma kuliko wewe na nimefuatilia kuliko wewe amini usiamini Mungu yupo, Nilikua mbishi zaidi yako.
Iko hivi achana na mambo ya maandiko sijuu dini hii sijui ile ila tambua kweli kuwa Mungu yupo, kwaupande wangu baada ya kuwa mbishi na kuchunguza kwa mda mrefu sikumoja ndio...
Ukipanda bodaboda halafu ukaona dereva ana story wewe jisemehe kwa nguvu "HII SERIKALI YETU" Kisha kaa kimya.
Hapo ndo utajua kuwa mmbongo mpe kichwa tu habari anayo.
Mahusia ni jambo la kutazama katika jicho ya kipekee sana haswa swala la usaliti linapoingia katika mahusiano, Mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke yalianza toka mwanzo kabisa mwauumbaji wa kila kitu.
Ukiangalia kwa upande wa wanyama wao mausiano na kuingiliana kwao hayachagui kwani hawana...
Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx na badae katika miji mikubwa yote Marekani alafu Dunia nzima.Muziki wa hip hop pia huchukua tabia...
Nasibu Abdul Juma Issaack (maarufu kwa jina la kisanii kama Diamond Platnumz;Alizaliwa Dar es Salaam, Tanzania, 2 Oktoba 1989) ni mwimbaji wa nyimbo za Bongo Fleva na dansa kutoka nchini Tanzania.
Ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa Kitanzania ambaye ana uwezo mkubwa wa kiushindani zaidi ya...
Kabla ya ujio wa Wazungu barani Afrika,Waafrika walikua na mfumo wao wa elimu kwa vitendo kulingana na mazingira.
Elimu kama ya Uvuvi,madawa,kilimo,ufugaji,maadili zilikua zikitolewa na uchumi ulikua ukikua kwa kasi.
Ujio wa Wazungu barani Afrika ukasababisha ukoloni na baada ya miaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.