Habari wanajukwaa,
naomba msaada au kueleweshwa,nilimeuziwa kwa bahati mbaya simu ya galaxy s3 demo unit badala ya mobile phone,inafanya kazi kila kitu kasoro kuwa na slot za chip ambazo hazijafunguliwa,kwa wajuzi nifahamisheni kama kuna namna yoyote ya kuifanya mawasilianao ya sauti mana...
hahaha sawa lizzy
kama vigezo bado sana ntakubali
kuhusu elimu siwezi anika elimu yangu yote,,
watoto wakitoka weusi basi we pi utakuwa mweusi
kuhusu ujeuri wamasai mbona sio wajeuri jamani?
habari ndugu,
mimi ni kijana wa kume ninaye tafuta binti ambaye twaweza kushabiiana na kupatana vyema kisha tujenge family
ABOUT ME:
Umri:29
kabila:mjaluo/mmasai
Kazi:mwajiriwa
Rangi:mweusi japo sio tii
Uremu:187cm/
Elimu:Bachelor
Mahala napoishi:Dar
Dini:mkristo
Tabia/nilivyo:mpole kiasi,si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.