Search results

  1. T

    Waliopata mkopo wa HESLB, Mkwawa University College of Education

    Samahani mkuu, mwalimu Nyerere memorial wameshatoa majina?
  2. T

    Taarifa kwa wale wote wa NACTE

    Mkuu ya Jordan yanaonekanaje? najaribu ku-google nashindwa kuyaona. Nijulishe tafadhali-0719225687
  3. T

    Taarifa kwa wale wote wa NACTE

    Profile IPO vile vile na hakuna jipya lililoandikwa. na HATA email hakuna news. simu pia hawapokei. NACTE THEY ARE NOT SERIOUS AT ALL
  4. T

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Morogoro wilaya kama vile Mahenge/ulanga au Malinyi ni bora kubaki huko huko.
  5. T

    Sababu 31 kwanini Magufuli hawezi kuwa rais wa Tanzania

    huyu alikua escrow, hana maono tena.
  6. T

    Utabiri endapo CCM itashinda

    ni kweli. tutamkumbuka Kikwete, tutalia tutaimba heri Jakaya yule alikua MTU mpole. Nchi itakua ngumu na pressure groups zitaongezeka na chuki za kisiasa zitaendelea. HAKUNA KITAKACHOFANYIKA ,KIONEKANE BAADA YA MIAKA MITANO. itakua tofauti kama CCM ikishinda ikiamua kuunda Umoja wa...
  7. T

    Tupia majina ya baa za kibongo

    KIWANGO bar "tunatoa huruma kwa kutumia computer"
  8. T

    Lazima mjue kutofautisha

    mchepuko wa zamani na mchepuko mpya
  9. T

    Lazima mjue kutofautisha

    mchepuko wa zamanu na mchepuko mpya
  10. T

    Second Round Application TCU

    Kwani kwenye profile unaona nini? mbona mimi hua naangalia profile sioni kitu jipya? NILIAPPLY KUPITIA NACTE
  11. T

    Ajira Mpya Za Walimu Ni Kama Kesi Ya Lulu.

    Tatizo walitoa ahadi, sasa kunashetan linakiangamiza Chama tawala,hua wakiahidi kitu hawawezi kukitekeleza tena.
  12. T

    Suluhisho la matatizo ya ualimu ni kuacha ualimu

    Hayo ni matusi hata kwa wazazi/walezi wako ambao nao pia walikupa mafunzo na kusimama kama walimu wako pia. ("MWALIMU NI MZAZI SHULENI,MZAZI NI MWALIMU NYUMBANI")
  13. T

    Ajira za walimu 2011-2013

    Acha uzushi,Tena hujui unaongelea nini.
  14. T

    Kwanini ajira za walimu hazitangazwi?

    Watu wasio wadau wa elimu wanapotosha yaliyopaswa kusemwa kwenye jukwaa la elimu.Kuna majukwaa ya mapenzi ,vichekesho na kejeli nendeni huko panawafaa zaidi.
  15. T

    Ajira za Walimu kutangazwa Januari 2013

    Ajira zitatoka january hii,na watu wataenda kaz february mwanzon.Kama ilivyofanyka miaka mingine iliyopita.WALIMU JIPENI MOYO
  16. T

    Zaidi ya walimu 20,000 waliokuwa mitaan zaidi ya miezi tisa kupangiwa wilaya waendazo leo!

    Weleji, kua local sio mpaka uwe local area.Mfano wewe upo town af n local. hZo private sector n manyanyaso tu,tena mishahara n midogo na wala hakuna akiba ya badae.
  17. T

    Ajira za Walimu kutangazwa leo.

    Mwaka jana walitangaza 19/01/2012 mwaka juz n 26/01/2011 nadhan kwa range hyo mwaka huu watatangaza tarehe hizohizo au kati ya tarehe hzo.Walimu msikate tamaa mlikotoka ni mbali kuliko mnakoelekea.
Back
Top Bottom