Search results

  1. Ndikwega

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mpira una Matokeo ya Kikatiri Mno.
  2. Ndikwega

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naomba Uwe Unanitag Mkuu!
  3. Ndikwega

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu, binadamu ukiwajua usiumize kichwa unawapuuza tu. Sehemu ya Maisha tu mbona.
  4. Ndikwega

    Naombeni Mrejesho kwanini watu wanaisifia sana Carina TI?

    IST 1500Cc natembea 20/Lita kwa highway, mpaka mwenyewe sijaamini aisee. Na ni ya muda ni Number C.
  5. Ndikwega

    Ijue piston: Elimu haina mwisho

    Moja ya Elimu niliipenda saana katika Maisha ya Agromechanics enzi hizo. Saafi kabisa!.
  6. Ndikwega

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mark ii VVTI

    On of the best comment ever. Wewe kweli upo kwenye kundi letu wanaume na si watoto wa kiume. Mleta mada, chukua hii.
  7. Ndikwega

    Nina 5,000,000 tu. Naweza kununua gari ipi ikiwa na hali nzuri?

    Kakushauri Vizuri huyu Mdau. Labda Kuongezea hata Funcargo
  8. Ndikwega

    MaBoss Wetu na Uongozi wao

    Daah, pole saana Mkuu! Huyu wa Kwangu wa Serikalini na najua hana la kunifanya maana ni kama tu Supervisor wangu. Ila alinikera saana maana alifura Jambo ambalo kabisa anajua tumekuwa wote muda mredu kidogo sijawahi fanya hivyo. Yeye Kapanic balaa.
  9. Ndikwega

    MaBoss Wetu na Uongozi wao

    Binafsi niliwahi itwa Ofisini Kwa Boss na Kuambiwa eti kwanini nimemdharau wakati hata sijawahi Kuwaza Kumdharau. Kumbe Taarifa alizopeleka PS wake jinsi ya Kuziwasilisha kaziwasilisha sivyo Kabisa. Kiukweli niliharibiwa siku nzima, nikawaza saana ila nikawasamehe wote Mungu ndiye anajua ya...
  10. Ndikwega

    MaBoss Wetu na Uongozi wao

    Nimefungua Uzi huu Mahsusi kwa ajili ya Kujadili na Kujadili baadhi ya Changamoto za Maboss wetu hususani wa Afrika. Yeyote uliwahi ama unapitia na Kukumbwa na Uonevu ama Kusingiziwa na Maboss aidha kwa kuamua wenyewe ama Kulishwa Majungu na Wale Watu ambao siyo wazuri kwako. Tunaomba pia...
  11. Ndikwega

    Msaada: Wakati Gari inapigwa Starter Moto unakuwa unafika Lakini haiwaki!

    Haiwaki kabisa Mkuu, inaishia hivyo hivyo. Gari ni ya Petroli.
  12. Ndikwega

    Msaada: Wakati Gari inapigwa Starter Moto unakuwa unafika Lakini haiwaki!

    Yah, maana unaiona kabisa inalalamika ila muendelezo wa Kustart unakuwa haupo.
  13. Ndikwega

    Msaada: Wakati Gari inapigwa Starter Moto unakuwa unafika Lakini haiwaki!

    Ndicho nakiona Mkuu. Yaani kila kitu kinakuwa Fresh kwenye Dash sema inagoma kuwaka. Unaona Kabisa Moto unafika.
  14. Ndikwega

    Msaada: Wakati Gari inapigwa Starter Moto unakuwa unafika Lakini haiwaki!

    Ahsante, ngoja nianzie hapo kwanza. Unaweza ukawa sahihi Kabisa!
  15. Ndikwega

    Msaada: Wakati Gari inapigwa Starter Moto unakuwa unafika Lakini haiwaki!

    Battery haina Carbon, kwa Upande wa Kusema ina Moto wa Kutosha labda nitajuaje? Na dalili za Kuchoka Starter nisaidie Mkuu!
  16. Ndikwega

    Msaada: Wakati Gari inapigwa Starter Moto unakuwa unafika Lakini haiwaki!

    Salaam! Naomba Msaada kwenye hilo. Gari unapopiga Starter linakuwa moto unafika ila haiwaki. Muda mwingine Kesho yake au muda mrefu umepita Ukiwasha inawaka. Naombeni Kujuzwa kwa wale waliowahi kumbana na adha hii.
Back
Top Bottom