Daah, pole saana Mkuu!
Huyu wa Kwangu wa Serikalini na najua hana la kunifanya maana ni kama tu Supervisor wangu. Ila alinikera saana maana alifura Jambo ambalo kabisa anajua tumekuwa wote muda mredu kidogo sijawahi fanya hivyo. Yeye Kapanic balaa.
Binafsi niliwahi itwa Ofisini Kwa Boss na Kuambiwa eti kwanini nimemdharau wakati hata sijawahi Kuwaza Kumdharau.
Kumbe Taarifa alizopeleka PS wake jinsi ya Kuziwasilisha kaziwasilisha sivyo Kabisa. Kiukweli niliharibiwa siku nzima, nikawaza saana ila nikawasamehe wote Mungu ndiye anajua ya...
Nimefungua Uzi huu Mahsusi kwa ajili ya Kujadili na Kujadili baadhi ya Changamoto za Maboss wetu hususani wa Afrika.
Yeyote uliwahi ama unapitia na Kukumbwa na Uonevu ama Kusingiziwa na Maboss aidha kwa kuamua wenyewe ama Kulishwa Majungu na Wale Watu ambao siyo wazuri kwako. Tunaomba pia...
Salaam!
Naomba Msaada kwenye hilo. Gari unapopiga Starter linakuwa moto unafika ila haiwaki.
Muda mwingine Kesho yake au muda mrefu umepita Ukiwasha inawaka.
Naombeni Kujuzwa kwa wale waliowahi kumbana na adha hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.