Ila kwenye hili la siasa ana uhuru wake kama mtanzania mwengine. Kama anavofanya kikwete kwenda kwwnye mikutano ya ccm bila ya kujali uraisi wake kama ni kiongoz wa watanzania wote.
Mchangiaji anamaliza muda wake, ila anachokisema ni kua hakuna haja tena ya kung'ang'ania serikali 2/3 ila tutafute njia bora ya maridhiano kwa sasa ili wananchi wapate katiba yao mzur..
Chiligati ameshauona ukweli kwamba hali mbaya na uwezekano wa kupitisha serikali 2 haiwezekani, sasa anachokifanya ni kuwalainisha wazanzibar kuwaonesha haki zao na kuwarudishia ili waunge mkono serikali2!
Yan saiz bunge halina mvuto, hoyo jamaaa kakaa kama Dr. KISANGIRI alivokua akitoa lecture darasan, watu wote walikua wanalala...
Kwa walio soma DIT, 09
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.