Tungeanza na kujadili kwanza kama tunaridhika na matumizi ya pesa zilizopo kwanza, na kama haturidhiki, basi wapi tupunguze matumizi yasiyo na ulazima, hatuwezi lalamika kuwa hatuna pesa ya kutosha, na tukawa na matumizi yanayoongezeka kila siku? Nadhani tuanzie hapo.
hilo mbona taizo dogo tu!! right click "my computer" halafu bofya kwenye manage, halafu nenda kwenye device manager, then right click bluetooth tthen unaziuninsall zote, ukimaliza zima washa mashine halafu iwashe bluetooth yako ili ijiinstall upya.
Hi guys!! mi mkali ila humu nimeingia karibuni, skia!! kama ulikuwa unatumia modem ya tigo free jaribu tena kutumia na ile lyn ambayo ulikuwa unasurf bure!! mi nasurf bure sema spidi ni ndogo nahic wamerudisha apn zao za zaman sema wamepunguza bandwidth (speed) yao. :poa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.