daah mkuu pole sana, mimi mwaka jana nililima ekari 22 nilitumia karibu milioni 5 nilichopata ni 2m sijakata tamaa kwa kuwa shamba nilikodi nimeamua kununua langu. hivi mwezi wa tatu naenda kufyeka ekari 200 kwa ajili kulima alizeti na mbaazi kule manyara... hakuna kukata tamaa
nilishawahi kukumbwa na tatizo kama lako, wana jf walinipa ushauri mzuri sana, achana nae huyo ----... kama una tamaa ya hivyo vijihela vyake shauri yako... adhabu zinatolewa hapahapa duiani, mumewe anatembelea vyuma angalia usije ukatambaa kama panya
nyie hamjui labda salama mwenyewe alikuwa analitaka hilo limandingo akalishudie, na ndio maana akamuuliza anatumia condom aina gani ili akazibebe kaisa
mnaosema alifungwa macho acheni ujuha wakati wanamuweka chini ya ulinzi inamaana hakuwaona?, katika maelezo yake ya awali anasema kuna kipindi aliokota gongo akampiga nalo mmoja wao, aliliona na nini..... mmetumwa humu ndani au ndi akina kova na msangi
tehetehe mheshimiwa sita juzijuzi hapa alitoa kauli bungeni eti tanzania itakuwa ujerumani ya africa mashariki hivi karibuni, yaani nilijisikia kichefuchefu... labda mpaka bunge na chimwaga vilipuliwe..
nimeangalia movie ya black gold, nikahisi mungu aliweka mafuta halafu akayawekea laana, kila mwenye nayo basi ni mwendo wa kuchapana ndio kinachowakumba waarabu, wamalawi wakiyapata na sisi tutaingia humohumo
nimefuatilia mashindano ya olympics mwanzo hadi mwisho, naiunga mkono 100% eti mwanariadha tegemeo ni samson ramadhani kamaliza wa 66 its a shame... nilikuwa nafuatilia mada ya olympics juzi kwenye kituo cha KTN kenya guys wako serious na haya mambo, sio hawa wenzangu na mie wanaoona ufahari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.