Search results

  1. N

    Riwaya: Kikosi cha Kisasi

    Safi sana mkuu
  2. N

    Nampenda sana mke wa rafiki yangu

    What goes around it's what comes around jiandae kupigiwa na wewe mkeo
  3. N

    Mdogo wangu aikosa ndoa kisa michirizi

    Hakuna mume hapo
  4. N

    Prison break season 5 updates

    Naangalia episode ya 9 hapa iliyotoka jana
  5. N

    Mwalimu wangu wa kemia ananitaka kimapenzi

    Hivi Umerogwa au uko kidato cha ngapi kwanza kama ni A level zero inakungoja
  6. N

    Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

    Nifate inbox nikujibu
  7. N

    Nimelima alizeti zimesombwa na mvua heka 20

    daah mkuu pole sana, mimi mwaka jana nililima ekari 22 nilitumia karibu milioni 5 nilichopata ni 2m sijakata tamaa kwa kuwa shamba nilikodi nimeamua kununua langu. hivi mwezi wa tatu naenda kufyeka ekari 200 kwa ajili kulima alizeti na mbaazi kule manyara... hakuna kukata tamaa
  8. N

    Movie Reviews

    to honest hangover 2 ni mbovu unaweza ukasema ni zile B-rated low budget movies ninayo, its too big ningeiupload hapa mkajibebea
  9. N

    The best tv series of all the time

    athena the goddess of war... a korean series realesed after IRIS ya ukweli ila 24 ndio mwisho wa yote
  10. N

    Movie iliyowahi kukutoa machozi....

    curse of the ring....2004
  11. N

    March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

    16:05 Mr Kenyatta 2,664,462 (53.71%) against Mr Odinga's 2,072,596 (41.78%)......MAY GOD BLESS KENYA, GOD BLESS EAST AFRICA
  12. N

    Mke wa mtu ananitaka nifanyaje..?

    nilishawahi kukumbwa na tatizo kama lako, wana jf walinipa ushauri mzuri sana, achana nae huyo ----... kama una tamaa ya hivyo vijihela vyake shauri yako... adhabu zinatolewa hapahapa duiani, mumewe anatembelea vyuma angalia usije ukatambaa kama panya
  13. N

    Z'bar vs burundi

    chezea uamsho wewe....
  14. N

    Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

    nyie hamjui labda salama mwenyewe alikuwa analitaka hilo limandingo akalishudie, na ndio maana akamuuliza anatumia condom aina gani ili akazibebe kaisa
  15. N

    Dr. Ulimboka yupo mafichoni, kuzungumza wakati wowote!

    mnaosema alifungwa macho acheni ujuha wakati wanamuweka chini ya ulinzi inamaana hakuwaona?, katika maelezo yake ya awali anasema kuna kipindi aliokota gongo akampiga nalo mmoja wao, aliliona na nini..... mmetumwa humu ndani au ndi akina kova na msangi
  16. N

    Joyce Banda: I shall die for the land of Malawi!

    post menopausal syndrome
  17. N

    Kenya plans pipeline to Arusha after oil discovery

    tehetehe mheshimiwa sita juzijuzi hapa alitoa kauli bungeni eti tanzania itakuwa ujerumani ya africa mashariki hivi karibuni, yaani nilijisikia kichefuchefu... labda mpaka bunge na chimwaga vilipuliwe..
  18. N

    Field Marshal Mohamed Tantawi afukuzwa Misri

    nimeangalia movie ya black gold, nikahisi mungu aliweka mafuta halafu akayawekea laana, kila mwenye nayo basi ni mwendo wa kuchapana ndio kinachowakumba waarabu, wamalawi wakiyapata na sisi tutaingia humohumo
  19. N

    Gazeti la The East African: Katuni ya Kejeli kwa Tanzania, Olympic

    nimefuatilia mashindano ya olympics mwanzo hadi mwisho, naiunga mkono 100% eti mwanariadha tegemeo ni samson ramadhani kamaliza wa 66 its a shame... nilikuwa nafuatilia mada ya olympics juzi kwenye kituo cha KTN kenya guys wako serious na haya mambo, sio hawa wenzangu na mie wanaoona ufahari...
  20. N

    Gazeti la MwanaHalisi lafungiwa kwa muda usiojulikana!

    nyoooo... bakisheni gazeti la uhuru peke yake sasa..... ******
Back
Top Bottom