jukumu la kuhakikisha raia wanakuwa na afya bora ni la serikali,kwa maana hiyo basi uzalendo uonyeshwe na serikali kwa kuwasikiliza madaktari then madaktari wakishindwa kutimiza wajibu wao baada ya kutimiziwa wanayodai ndo tuwandai uzalendo.
imefika wakati sasa kuwa na katibu mkuu wa Afya ambaye ni daktari,imagine km hajui kutofautisha intern doctor na mwanafunzi wa udaktari mbaya zaidi hata waziri wake hajui tofauti yao .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.