hahahahhahhahaaaaaaa!!!!usituletee habari za miongozo humu kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake kwa jinsi anavyoona ni sawa sasa kila mtu angekua anafanya reseach kwanza ndo aoengee sidhani kama wengi wangeongea humu ndani by the way ni NO RESEACH NO RIGHT TO SPEAK!!
Give me a break!!!!alipouzia chama magari mabovu anaprove ni kiongozi shupavu na si mchumia tumbo??acheni kumwagia sifa wakti anamapungufu kibao nyuma ya pazia!!!
Am sure huyo mleta mada atakua ametumwa tuu!!kwani amekwambia anataka kugombea hilo jimbo?kwanza ana vigezo gani viti maalaum??wakti hamna analofanya??naungana na matola Halima Mdee ni hazina kubwa kwa CDM labda awaweke kitimoto viti maalum wengine ili awape maujuzi kidogo leticia anajitahidi...
hahahaa!!!!m4c my ass!!!!kama kweli unajitambua usingetoka povu mkuu ni kiasi cha kumwelewesha alitoa hiyo point.isitoshe kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake au hujui hiloo??kama unajiona ww ndo unaejua kuchangia mada sana basi anzisha thread yako ili baba ako na mama ako na ndugu zako...
Kichaa unacho ww ulolishwa unga wa ndere na kuona njano ni nyeusi **** nn ww unadhani watu tunakurupuka kutaja watu bila sababu kuna mtu kasema hajamwona zitto kama hayupo asiongelewe isitoshe sio siri kuhusu zitto au bi kilembwe alizidisha unga hata hujui tofauti ya mchana na usiku pole weee!!!!
Zito lazima atajwe maana ni moja ya viongozi na mwanachama wa CHADEMA mwenye mvuto na mmoja alieleta changamoto za kisiasa kama mwanasiasa kijana sasa tabia ya kummbagua inaonekana wazi siku hizi maana hashirikishwi kwenye mambo mengi ya chama inasemekana anatumika mtaa wa pili...(.....)!!!!
kuna msemo unasema EVERYBODY HAS A PRICE!!!so usishangae akanunulika siku mmoja!!!mie siwaamini kabisa hawa wanasiasa wote wapo kwa maslahi yao binafsi!!!!
mie napenda sana horrow movies nlishiona drag me to hell bt sjabahatika kucheck part two ila kuna the excorsism of emily rose naipenda sana kuna season of the witch ya nicolas cage.
Masai mmoja alimpeleka mkewe hospital akaambiwa mtoto amekaa nje ya mfuko wa uzazi atoe pesa apasuliwe.Mmasai alichukia akaanza kusema hii mama jinga sana wakati mimi natia anahangaika mara kiuno kusoto mara kulia naambia tulia yeye nasema tia tu hamna sida ona sasa yeye nakosesha mimi shabaha...!
hawa washenzi kama hawawezi biashara wawapishe wenzao jana kusikia nkajiunga fasta cha ajabu mpaka jioni nimekatwa salio lote nlokua nalo leo sikukoma nkajiunga na kifurushi cha wiki kwa 2500 nkakatwa salio kimya eti tafadhali subiri ombi lako linashughulikiwa mpaka sasa bado nkajiunga hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.