wewe sunguratope huwezifananisha yule mchungaji aliekua akishawish watu wasile nyama mlizochinja kama tambiko na yule kichaa aliehamasisha fujo na mipasuko ya kidin hapa nchin... Ponda ana akili sasa yule chiz aliedhan ataenda ikulu kuongea upuuz wake kisa kikwete n muislam mwe zie.... ovyooo
nikiomba unihakikishie kuwa huu waraka aliuandika Chacha na sio ww umejifungia chumban kwako ukauandika sidhan kama utaweza...... namaanisha kama utaweza uulete hapa utuhakikishie,,,,,,,
si unaona sasa upuuzi ule ule, wewe na huyo mr president wote n vichwa maji maana tangu mwanzo sijaona points mnazoongea kama watu wazima points zenye mashiko mnatokwa povu tu,,,,,
hizi ni zile zile ainema zenu za kila siku mkuu hamna jipya,, kumsimamisha hàkutoshi muwajibisheni,,,,, na msiseme sjui uchunguz haujakamilika sjui nn kwan ishu ya rada nayo had leo hamjaimalza, au hamkujua AC amehusika....... acheni masinema nyie hamna jipya....
Nakumbuka post yako ya kusema unamalzia mastaz nacheka sana,,,, kama msomi wa kiwango cha mastaz kuelewa vitu vidogo hivi huwezi...... nlisema ni lazima kila nchi ya ulimwengu wa 3 ifuate sera za SAP ili kupata misaada kutoka mataifa makubwa which means hutaki kuzifuata no misaada na sio lazima...
Juliana unatudanganya watu wazima,,, hii ni Civics ya kidato cha 3 wala haihitaj kufunga na kuomba, rudi shule kasome kuhusu Stactural Adjustment Program (SAP) ambayo moja ya policies zake ilikua n MULTIPARTISM na ilikua n lazima kila nchi ya ulimweng wa 3 ikubaliane nayo ili kupata misaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.