Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu
Nina audi a4 nisaidieni garage naweza kubadili transmission fluid
yaani oil ya gearbox na service kwa ujumla
Natanguliza Shukrani
Nauliza na kuomba ushauri
Gari aina ya Nisaan premere inakuwa na usumbufu upi
in terms of oil consumption na ubora wake kwa ujumla
Je Vockswagen POLO ikoje kwa matumizi ya hapa kwetu misele ya mjini
pia kuhusu mafuta
Naomba nisishauriwe kuhusu TOYOTA.
Imeandikwa watakuja watu wanaojiita manabii na kufanya mambo ya ajabu lakini msiwafuate
Cjui kifungu gani kasome bible utajua:A S-confused1:!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ndugu yangu huyo mtu ni nchi gani?
Kama ni west africa girl au nchi hizi nyingine inshu sio mtoto
Ila hapo anataka uraia wa tanzania na chance ya kuzamia huku kirahisi maana ukiwa nchi za ughaibuni wengi wanapenda uraia wa tanzania kwa kuwa watz wengi wanaaminika ki urahisi uko ughaibuni na...
Leo Jumapili Mkuu sasa mida gani hii kitu inaendelea maana dah nataka nijue mwisho wake tu
Alifanya nini baada ya kugundua kuwa mama yake ndo kiboko yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.