Search results

  1. Brother Jero

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Najua maana ya jina Suluhu. Mwenye kujua maana ya jina Samia anisaidie. Names matter.
  2. Brother Jero

    Machinga waanza kuisoma namba stendi ya Magufuli Mbezi Mwisho

    Umenena vema. Kuna haja ya kutenga maeneo rafiki kwa ajili yao. Nchi nyingine wamefanikiwa. Tunaweza pia
  3. Brother Jero

    Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

    Ubarikiwe
  4. Brother Jero

    Hivi unawezaje kununua Ndege ushindwe kulipa wakulima wa Korosho?

    Tunahakiki mashamba kwanza. Watalipwa. Subira huleta kheri Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Brother Jero

    Muitikio wa maandamano ya leo katika mikoa kadhaa, unakupa picha gani?

    Bwana Yule Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Brother Jero

    Msafara wa Waziri Mkuu wa Uingereza

    Hawa jamaa wako mbali sana. Wamekuwa na train za chini tangia 1863. Ukiangalia bunge lao sasa jinsi wanavyo bishana kwa hoja... Sie bado sana
  7. Brother Jero

    Picha: Gharama za public toilet zipo juu, Serikali itusaidie

    Nyuma ya hivo vyoo bondeni kidogo.ni aibu. Ni mimavi! Watu wana fanya OD(open defecation). Ma Afisa Afya husika angalieni hili jambo
  8. Brother Jero

    Kama sasa shirika la ndege la Tanzania, ATCL linapata hasara, akiondoka Rais Magufuli itakuaje?

    Nani wa kupanda ndege kwa usawa huu? Labda waboresha hali ya kipato cha mwananchi mmoja mmoja kwanza Mbona wamekuwa wakitoa nyaraka mara kwa mara. Ila wa Mwaka huu umekuwa a bit scathing. Hata hivyo wako sahihi kutoa ya moyoni. Wao nao ni sehemu ya jamii.
  9. Brother Jero

    Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

    Jana nami nimemsikia Redio Tumaini! Nilifedheheshwa sana na kauli yake ile. Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo ni kiongozi wangu wa kiroho.lakini kwa hili ameteleza. Hivi ina maana Wahashamu Baba Maaskofu (TEC) nao wanakurupuka?!! Kweli?!! Padri Raymond Saba ambaye ni Katibu wa Baraza is not that...
  10. Brother Jero

    Hivi Rais Magufuli hakusoma hata Civics ya kidato cha nne?

    Civics ilianza kufundishwa miaka kati ya 1990 hivi. Kabla kulikuwa na Somo la Siasa..
  11. Brother Jero

    Rais Magufuli: Maaskofu wahimize ujenzi wa viwanda vya dawa badala ya kuhubiri mambo yasiyo na tija kwa Tanzania

    Civil society, ambayo ndani yake inaweza kuwa na FBOs, kazi yake kubwa mbali na nyingine ni kukemea maonevu ktk jamii(pro-poor). Laiti viongozi wetu wangalikuwa wasikivu ....Ktk nchi nyingi za kiAfrika hatuna strong civil society...Huu umekuwa mtaji mkubwa kwa baadhi ya watawala wetu wa Africa...
  12. Brother Jero

    Kwanini watanzania wanapenda sana kupost taarifa ambazo hasi kwa taifa?

    Ktk nchi za Scandinavia hali ni tofauti... Wao Serikali zao ni "more inclusive ". Sie ni "one man show"
Back
Top Bottom