Wadau mlioko Dodoma hebu
tujuzeni, hivi haya ya kweli? Au soga tu za mjini kama ni kweli kumbe ndiyo
maana maisha ya wabunge yamepanda huko Dodona na hata wakaongezeana posho. Tujuzeni mlioko Dom
WanaJF, huwa kuna taarifa kwamba mme anaweza kutega
dawa kwa mkewe ili mwanaume yeyote atakayetaka kufanya naye mapenzi nyeti zake
zipotee kabla hajamwingilia mwanamke, au mwingine anaweza kumwingilia lakini
akanasa mpaka mwenye mke ategue huo mtego wa kichawi, je hiyo ni kweli? Maeneo
kama...
Our shiling has for a long time been slumping against almost all major currencies, although it has recently registered some gains. I have been asking myself for a long time, what stands behind all this state of affair? And what should our country do to arrest the situation before it gets out of...
Wakuu natafuta nyumba ndogo, yenye mvuto
Sifa:
1. Iwe tayari kutunza siri SANA SANA
2. Iwe tayari kuhamwa ikipata mpangaji wa kudumu, mimi nitakuwa tayari kuhama kwa hiari
3. Iwe na mapenzi motomoto
Mengine tutaongea tukikutana. Ila mimi niko above 40, married with a daughter and a son. Unajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.