Search results

  1. K

    Rais Magufuli, unateua kwa lengo la kupambana na wapinzani au kuleta maendeleo?

    Huyu VUTA-NKUVUTE si wa Lumumba huyu? ukina hivi ujue wameisoma namba!
  2. K

    Bomba la Mafuta: Kenya wamkomalia Museveni

    Hili bomba wawekezaji ni TOTAL nao wanaangalia zaidi gharama za uendeshaji na uhakika wa returns kwa investment yao. Ukiangali route ya bomba, kuna masuala ya usalama upande wa South Sudana na Somalia hivyo risk ni kubwa ya hujuma. Na hii ndio sababu kubwa ya ucheleweshaji wa huu mradi pamoja na...
  3. K

    Kanusho La Kujiuzulu Kwa Wabunge Wa CUF

    Wamekanusha!
  4. K

    Rais Magufuli ateua Wakuu wa Mikoa, Makonda apangiwa Dar

    waliopigwa chini kina nani hao?
  5. K

    Kubenea: Sikusema Makonda ni Mjinga,mpumbavu,kibaka na cheo chenyewe cha kupewa

    Ushahidi upo wa video, hiyo kesi kama mzaha lakini ngumu.
  6. K

    Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

    Chonde chonde bibie exceptional lady, utavunja ndoa za watu! umeamua kusherehekea 8 March kwa kutumbua majipu akina baba wasio nahatia?
  7. K

    Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

    Mwambie awe makini, akaona choo kwenye ndoto asikitumie kwzni huo utakuwa mtego!
  8. K

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Ha haa! Hili kitu bado lipo? I see JF kiboko, loh!
  9. K

    Tundu Lissu: Magufuli ni cross breed kati ya Sokoine na Mrema

    Kama alidhani anamponda JPM kwa kumfananisha na Sokoine, huenda akwa amempandisha chati bila kujua.
  10. K

    Tanzania supports plan to send 5,000 troops to troubled Burundi

    Wait a minute! Hiki chanzo cha taarifa hizi labda watuwekee sauti ya Balozi Mahiga tuwe na uhakika, hawa jamaa hana record ya positive reporting on Tanzania
  11. K

    Tanzania supports plan to send 5,000 troops to troubled Burundi

    Sijaona ukigeugeu hapa, msimamo ulikuwa kwamba vikosi visipelekwe bila makubaliano na serikali ya Burundi na hili nadhani bado liko pale pale
  12. K

    DART wameomba SUMATRA nauli ziwe kati ya 1,200 - 1,400

    Jamaa washanza kuviharibu tayari! Vituo hivi vimeinuliwa sana sijui huyu dereva amefikaje huko?
  13. K

    Wakili wa Mama Lwakatare adai mteja wake alitimiza maelekezo ya NEMC

    Mahakama kazi yake kutafsiri sheria na wala haibadili sheria, kama kweli nyumba yake iko ndani ya eneo lisiliruhusiwa hakuna jinsi itapigwa nyundo.
  14. K

    Hii sheria ya NEMC kujenga mabondeni ni kwa Dar es salaam tuu??

    Sheria hii ni sehemu zote, wanaweza wakawa kimya leo kutegemea na watendaji wa eneo hilo lakini kuna siku watafika huko.
  15. K

    Poll:Unaridhika na Utendaji wa Serikali ya Magufuli?!

    Weka hiyo POLL zipigwe kura, kisha mjadala utafuata baada ya matokeo.
  16. K

    Manji: Nchi yangu hainithamini

    Huyu Manji naye ni JIPU anguje kutumbuliwa, si ndie aliyekuea dalali wa EPA kupitia Kagoda? Au anadhani tumesahau!
  17. K

    Wanne Wakataa Uwaziri wa Magufuli Wakihofia Kushindwa Kuendana na Kasi Yake

    Hii nayo udaku tu, kama kweli angeweka majina ya hao wabung.
  18. K

    Kuna Uhusiano Kati ya Dr. Medard Kalemani ( Naibu Nishati) na Magufuli?

    Mkuu Pasco, with due respect jaribu ku-edit bandiko lako, baadhi ya maneno ni offensive kwa jamii fulani za Watanzania.
  19. K

    Mkurugenzi wa manispaa ya Ilala ni jipu lililoiva

    Majipu ni wale wanaolazimisha kura ya wazi, waacheni madiwani wachague wanayemwona atafaa kuwa Meya bila shinikizo.
  20. K

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Kwa mujibu wa katiba, Waziri Mkuu awe mbunge wa kuchaguliwa, Kinana hakugombea popote.
Back
Top Bottom