Kwa kweli nashindwa ata kujua uhakika kutokana na tatizo hilo. siku nyengine zinafika siku 35 siku nyengine 42 ata nashindwa kujielewa. mana mara ya mwisho kupata ni tarehe 24 july.
Jamani nnawaombeni msaada. nna tatizo la kutokupata hedhi kwa wakati kwa mfano mwezi uliopita nimepata tarehe 20 mwezi ujao upite wote sipati mpaka mwezi mwengine pengine tarehe 7. jamani ni nini tatizo?
Mi mwenzenu nahisi nina tatizo!!, kila ninapojitahidi kunywa maji mengi ndio ninapokwenda kutoa haja ndogo (kukojoa) kila mara. hivi ni kitu gani kinasababisha hali hii? au ndio inavyokua kwa watu wengine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.