Jaribu kukumbuka kama kuna mtu ulimuumiza nenda kamuombe msamaha. Kuna watu wakimlilia Mungu juu ya uonevu uliowafanyia, utateseka sana. Simaanishi unayoyapitia ni sababu hiyo ila inawezekana ikawa ni moja ya sababu.
Kuna dini za kihindi kama hawa hindu au sisi tunawaita baniani, wana miungu mingi sana ya kike. So inategemea anaposema Mungu anamaanisha mungu wa dini gani. Maana kila dini ina mungu wake.
Kuna nguvu kubwa kwenye asubuhi, hivyo ukitaka siku yako iwe njema anza kuiamuru asubuhi iwe vile unayotaka wewe. (Command the morning)
Ayubu 38:12-13
[12]Je! Umeiamuru asubuhi tangu siku zako zilipoanza?
Umeyajulisha mapambazuko mahali pake?
[13]Yapate kuishika miisho ya nchi,
Waovu...
Ndoto ilikua inatokea wapi? Yaani mazingira ya nyumbani? Kazini au kwa wazazi wako au wapi?
Muhimu sana kujua mazingira kwa sababu hayo ndio yataeleza kwa nini kichaa akukimbize?
Je kichaa ni mtu unamfahamu? Alikua analalamika khs nini? Hicho alichokuwa anakilalamikia ndio sababu ya kukukimbiza...
Mada nzuri sana sema natamani kama uijazie jazie nyama ili tujue exactly what to do shida inapokuja.
Ikiwezekana tupe mifano halisi kabisa iliyokutokea wewe, step by step.
Mfano umesingiziwa umebaka, ukakamatwa na kuwekwa ndani, je kwa somo hili uta handle vipi hilo tatizo?
Namshukuru Mungu kwa kuwa ni kwa rehema zake sijaangamia, uaminifu wake ni mkuu sana🙏
Maombolezo 3:22-23
[22]Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii,
Kwa kuwa rehema zake hazikomi.
[23]Ni mpya kila siku asubuhi;
Uaminifu wako ni mkuu.
Ukiwa kwenye nafasi ya kuhudumia mtu mwenye shida ya afya, uchumi, kufiwa nk usimnyanyase, unajitafutia laana kwa vizazi vyako. Know this and know peace 🙏
Wafanya biashara wengi waliokaa muda mrefu ktk biashara na kukuza mitaji wana vyanzo vingine vya mapato. Vinaweza kuwa halali au si halali ila wana vitu vingi wanafanya nje ya hiyo biashara unayoiona.
Ni ndugu zako walikuja kukusalimia, sema wakakuta msosi hamna wakafa na njaa😭😭😭 next time please keep some food in the house, usije maliza ndugu zako bure🏃🏃🏃
Poleni sana, wananchi muungane na uongozi wa serikali za mitaa mkae chini na uongozi wa kanisa mpate muafaka, suluhu itapatikana tu.
Hii hali ni ngumu sana hasa ukiwa na watoto wanaosoma, kila akitaka utulivu hapati. Hata sisi huku Ilemela hawa jamaa wa Tunza beach wanatupa taabu sana, usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.