Wakuu nimeona nichangie kidogo kwa vile mimi ni mzaliwa na mkaazi wa Unguja
Nimesoma coment nyingi ila nimeona baadhi ya watu hawajui Zanzibar ni muunganiko wa vusiwa viwili UNGUJA NA PEMBA
Mostly watu wa bara wanapoesama Zanzibar huwa wanakusudia Unguja sababu ndio kisiwa baba kati ya hivo...
Habari wakuu
Mimi ni mshabiki sana wa games hasa hasa mobile games sababu muda mwingi napata free nikiwa kazini kuliko nikiwa kwangu
Nilikua najaribu kutafuta mashabiki wenzangu kama wapo wanaocheza hili game la WAR ROBOT wa hapa tz maana nimechoka kuplay solo na nipo katika clan ya kirusi...
Nimenunua katika local store hapa mjini
Me nilinunua hii sim only for Pubg fortnight and staff like that
Trust me sijawai experience perfomance ya juu on online multiplayer gaming zaidi ya hii sim
Kama unahitaji kununua nikupe faida na hasara nilizoziona kabla hujanunua
Faida:
- Iko faster...
Kuna nyimbo sikumbuki aliimba nani walitokea kumjibu lady JD - wanaume kama mabinti.
Kuna remix yake kidokezo
"Wamama kama vijana.. misosi mitungi na pamba siku zinaeenda kila siku tunajirusha Wanatupenda wenyewe"
Please mwenye nayo aniwekee
Me nilishindwa kabisa kuweza kuverify acount ya crdb kwenye ac yngu ya paypal mpaka nikaachana nao
Nilipofungua NMB nimepata zile code on my first attempt sijui nilikosea wapi na crdb
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.