Search results

  1. IKHOIKHOI

    Ajali Mbinga-Ruvuma: Gari lapata ajali na kuua Padre mmoja na Makatekista sita

    Jamani hii habari ya ajali mbona inaonekana ni ya mwaka jana??
  2. IKHOIKHOI

    Mwakyembe atimiza ahadi kwa kumwaga mapesa

    Nimependa tu kila mmoja ananyoosha mkono wa salam lkn machoyapo kwenye bulunguti.
  3. IKHOIKHOI

    Tume ya maadili imekosa weledi inafanyakazi kama Pilato

    Eddy labda nikufahamishe kuhusu hicho unachokiita "kibali cha kupokea hizo fedha..." Ni kwamba hao Tume ya Maadili ndiyo wanapaswa kupelekewa taarifa za kupewa fedha na aliyepokea siyo na aliyetoa. Sheria ya Maadili inamtaka kila kiongozi anayewajibika kwayo, anapopata kipato chenye thamani ya...
  4. IKHOIKHOI

    Prof. Tibaijuka: Nijiuzulu kwa lipi?

    Ukisoma hii stori unaweza kuunganisha dots ukapata mstari... endelea na story hiyo kama ilivyoripotiwa tarehe 28 Julai, 2013 28 | July | 2013 | Nurdidy Nurdone Blog Raisi Kikwete alala nyumbani kwa waziri.28JUL2013Leave a comment KATIKA mazingira yasiyotarajiwa, Rais Jakaya Kikwete amelala...
  5. IKHOIKHOI

    Rais Kikwete amteua Profesa Asad kuwa CAG mpya akimrithi Ludovic Utoh

    Hivi kumbe uteuzi wa CAG ulikua miongoni mwa maazimio ya bunge siyo?
  6. IKHOIKHOI

    Nassari aweka hadharani kimemo cha siri alichoandikiwa na Mwigulu Bungeni

    Nasari hivi elimu yake ikoje?? Nasikitika sana kijana huyu amepoteza credibility sana kwa kuweka memo hiyo hadharani. Unless ajitokeze aseme siyo yeye kaiweka, manake tunaweza kumlaumu bure kumbe ni akina chenge na werema team waliikwapua wakaiweka ili kumkomoa mwigulu kwa namna alivyowachana...
  7. IKHOIKHOI

    Mbowe kulakiwa Dar kwa Maandamano makubwa

    Mbowe ndiyo habari ya mujini. Yeye ndiye aliyeokoa jahazi baada zzk kutaka kulizamisha
  8. IKHOIKHOI

    Zitto Kabwe alimaanisha hivi..

    Nakubaliana na wengi humu. ZZK alichoka kiakili. Kumbuka alikua amekesha akilinda ripoti yake kabla ya kuiwasilisha bungeni. Mjadala nao uliendeshwa kwa muda mrefu, kwa hali ile lazima angechoka tumsamehe tu kwa kuwa ni mpiganaji.
  9. IKHOIKHOI

    Sikubaliani na hili lililotekea bungeni usiku wa Nov 28, 2014

    Wewe ni werema/muongo team na huu ndiyo mwisho wenu. Majambazi wakubwa ninyi
  10. IKHOIKHOI

    Nasikia sehemu kuubwa ya nchi haina umeme sababu kubwa ni mjadala wa ESCROW

    Wamekata pia hapa. nipo tabora mjini. Washenzi hawa lkn watanyolewa tu.
  11. IKHOIKHOI

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Huyo Nnnchambi ni ma.vi tu, anajifanya kutumia mistari ya maandiko matakatifu kutudanganya. Siku za mwisho zinakuja na atahukumiwa kwa kipimo kile kile cha kusukwa sukwa na kujaa alichotumia kuwatetea wezi wa mali za umma. Nilikuwa namheshimu sana ila amejishushia heshima sana. Ffffaqqq youuu...
  12. IKHOIKHOI

    TANESCO yaamriwa kuzima umeme

    Hatimaye wamerejesha umeme. Ia niishajipanga tangu jana kwa kuandaa vitendea kazi kama vile ear phone na betri za ziada za simu. Hakuna kulala hadi dakika 90 za escrow ziishe tujue nani tumbili na nani mwizi
  13. IKHOIKHOI

    TANESCO yaamriwa kuzima umeme

    Huko kwenu vipi? Hapa ni nzega
  14. IKHOIKHOI

    Wabunge wa CCM waandaa hoja ya kumng'oa Spika Makinda

    Wengine kwenye orodha hiyo ni lukuvi, wasira, mhongo, nkamia, werema, ...ongezeni
  15. IKHOIKHOI

    Naomba kujuzwa ripoti ya ESCROW itasomwa saa ngapi

    Mkuu tumekusikia. Hiyo tar 26 Nov kila goti litapigwa. Nchi na dunia itazizima na akili, masikio ona macho ya wapenda TZ vitaelekezwa mjengoni... pamoja sana mkuu
  16. IKHOIKHOI

    David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

    Uljnzi uimarishwe tafadhali wasijekumnimrodi ...
  17. IKHOIKHOI

    Kikwete: Hata kama Mtu anayechochea Wananchi ana mapembe, tutayakata!

    kucha ukikata zinaota ila ukiong'oa hazioti. So hapo naona hayo mapembe watayang'oa kama kawaida yao, hapo ndio hayataota tena.
Back
Top Bottom