Hakuna aliyemweli kweny hii nchi kila mtu anabweka tu kama mbwa akishatupiwa nyama kama mbwa ananyamaza wizi mtupu kwanza hawa watu wanashekula nyama ya mtu hivyo hawezi kuacha kuongwa...
Katibu wa Jumuiya ya wazazi taifa Hamis Dady anasema kuwa dawa ya kuondokana na maandamano na migomo iliyopo nchini nikuanza kuwafundisha wanafunzi wasigome au wasifanye maandamano tangu wakiwa mashuleni..
Anasema kuwa maendeleo nchi hayataletwa kwa maandamano wala migomo,hivyo shule...
kwa mtazamo wangu,hali ya hewa inaweza ikachangia,coz tz vumbi jua vinaharibu sana ngozi coz kwa mtu wa kawaida ambaye huna usafiri unapotoka hme asubuhi na kuelekea kwenye mihangaiko ya kawaida na unaporudi jioni kunakuwa kuna tofauti kubwa kwenye ngozi ya uso,na sehemu nyingine,hivyo2 kwa m2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.