Naamini wewe umeota unabusiwa na kutekenywa na Ole Sendeka na Wasira ambao sasa wanashindwa hata kugeuka kutokana na kuzidiwa uzito wa matumbo yao. Sendeka hana alichokifanya simanjiro bali kuongeza ukubwa wa tumbo. Wasira kazi yake ni kulala bungeni hata na kutoa udenda huyo watu wa Bunda...
Vyombo vya habari vya ITV na TBC ni kero kwa wananchi wanaopenda kuona haki inatendaka katika uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki. Vyombo hivi vinaipendelea ccm kwa kuonyesha kwa muda mrefu kampeni zake na CDM Ikionyeshwa kuwa kwa sekunde tena bila ya wasikilizaji, hii ni kudhalilisha uandishi wa...
Vyombo vya habari vya ITV na TBC zimekuwa zikiwakwaza watazamaji wake kwa kuegemea upande wa chama tawala katika kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru mashariki kwa kuonyesha kuwa ccm ina watu wengi katika kampeni zake. Lengo ni kuvuwavunja wananchi moyo hata wasijitokeze kupiga kura ili...
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii (DK. Mponda),Waziri wa Ushirikiano wa Jumuia ya Africa Mashariki (Sitta) ,Naibu Waziri wa Miundo Mbinu na Ujenzi (Dr. Mwakyembe) na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI- Manumba) wote hawa wanapaswa kutoswa na JK kwa kuvunja maadili ya uongozi kwa...
Ndugu yangu yaelekea huna upeo na mambo ya Kanisa, hivyo uwaache watu watende kazi ya Mungu ili nawe unufaike na rasilimali za Kanisa katika kada mbalimbali. Mhe, Lowasa anatumiwa na Kanisa akiwa ni mtu mwenye uwezo wa kuchochea na watu wakajitokeza kuchangia Kanisa ili ijiendeshe. Pili kwa...
Kwa muda mrefu sijamsikia Waziri wetu Mkuu Mheshimiwa Pinda akihamasisha Masuala ya Utendaji serikalini kama Mtendaji mkuu wa serikali hadi Madaktari walipogoma akajitokeza hadharani. Je, alikuwa likizo ya muda mrefu?
Inaelekea wewe huna uweza wa kuchambua issue, ni bora usiwe unadandia usichokielewa, fanya uchambuzi ujenge hoja. Madaktari wana hoja za msingi ambazo serikali wanapaswa kuzijibu na kutolewa majibu sahihi. Hujui Wizara ya afya kuna watu wanaona ni taasisis yao binafsi hakuna mwenye mamlaka zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.