Sasa kama mfamasia ndiye anayejua zaidi elimu ya dawa na umekiri hilo sasa unadhan hatoweza kujua pathophysiology .Unadhani hio dawa imezalishwa basi kuelewa ugonjwa ? Lazima uhujue kwanza ugonjwa ndipo uangalia possible solution za kucombat hilo tatzo.
Nenda hata kwenye drug discovery angalia...
jamaa mmoja alikwenda kwenye mazishi ya jiran yake.maada ya kumzika marehemu ,watu bado walilia xana .axa jamaa yule alilia kuliko watoto wa marehemu .watu wakashangaa xana alivyoonahivyo akanyamaza.mwenzake wa pembeni akamwoliza ,;mbona umenyamaza kulia?jamaa akajbu nimeweka vibration.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.