Nilikua na mpenzi wangu ambae nilimpenda sana na bado element za love zipo kwake, nilianza nae 2007 nikiwa f5 tuliishi vizuri na mimi nilikua wa kwanza kwake,penzi lilikuja kuingia doa 2011 pale wazazi wake walipo taka kumuozesha kwakua ni binti wa kiislamu na ana asili ya kiarabu, kiukweli...
Rais jk, ameitisha mkutano wa dharura wa nec mjini dodoma utakaofanyika tar 12 feb, naye nape amekiri uwepo wa mkutano huo na kusema lengo ni kujadili katiba mpya ya ccm.
Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM...
Huyu kibonde ni mtu wa kujikomba kwa wakubwa, kipindi cha kampeni rais aliongeza mishahara ki nyemela kana kwamba anaonga wafanyakazi aliewaita mbayuwayu kibonde akatetea, wanafunzi wa vyuo wakigoma yeye anabwata hawana akili,je huyu ni reporter wa nini sciol issues au ni pro wa serikali? Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.