kwa mawasiliano zaidi napatikana dar es salaam maeneo ya kunduchi ,namba ya simu ni 0733139398 na whatsapp ndo hiyo hiyo pia bado sijapata mteja ,pia kuna maelewano ya bei ukiachana na hiyo.
Inamaanisha kila siku analipwa 10,000/= huoni hela ndogo sanaaa hiyo hata kama ipo nje ya mshahara? Mimi kila siku napokea 50,000/= hiyo ni nje ya mshahara.
Wale waliopewa limbwata na wake zao wataendelea kuusapoti huu uzi aloandika huyu alopewa limbwata,
Aiseee kweli wanawake tuishi nao kwa akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio aisee,,wote lazma wawe vitengo hiyo ni wizara nyeti sanaa lazma uwe usalama wa Taifa.
Kwahyo mawaziri wakuu wote wanaoteuliwa Tanzania ni lazma wawe vitengo. Over
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.