Normally mawaziri wote wa fedha kama si Afrika basi dunia nzima wana Matatizo. Remember Meghji, Mramba and now Mkullo. Dawa ni kuwafilisi kisha kuwafunga wakanyee ndoo lupango
Jamani Wananachi Wenzangu Jamvini Nadhani Hii Ni Adhabu Ambayo Tunaipata Kwa Makodsa Yetu Ya Kuchagua Mtu Kwa Sura Na Pesa Badala Ya Sera Na Uwajibikaji.
Hawa Wabuge Waliopropozi Hii Ishu Utashangaa Kuna Watun Watawapigia Kura Next Election.
Hakielimu Ni Shirika Binafsi Ambalo Wapenda Haki...
oh my GOD,Chinga una2mai potentials gani kuwalinganisha hawa jamaa?
Una habari kuwa mmoja wao ana2mika kama msemaji wa wanasiasa wengine na mwingine anajenga hoja zake mwenyewe.
By the way u know that MBOWE iz a new future 4 teenegers generation
the idea is welcoming and it's...ok! a good thing is that always africans east africans in particular say karibu mgeni lakini hatutaki vita na tribalism:)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.