Sio kila mtu anaweza kuwa mbuge na sio kila mbuge anaweza kuwa waziri, wizzo rais anatambua nn atendalo anawajua kila mbunge na kipaji chake tabia na uelewa kuliko unavyowajua wewe sasa ndugu yangu usimfundishe kazi kwani amekosa washauri mpaka uwe wewe atmeans unataka kusema rais na makamo wake...
Jamani kuna tatizo tusijaribu kurushiana maneno wakati sote tumo kwenye nyumba moja wazanzibar na watanzania kwa ujumla tukaeni chini tutizame nn kimewasibu hawa vijana na mfumo mzima na tuwasaidie kwa majibu na muongozo na sio kukejeliana hakuna alie bora kwa imani yangu napata picha tatizo ni...
Afadhali Dr Slaa na wafuasi wake wanakiri kuwa Rais kikwete amechaguliwa na wananchi na kufuta ile kauli yake kuwa ameibiwa kura zake hongera Dr Slaa kwa kuwaelimisha watazania ukweli plz usijegeuka mbogo tena ukarudia kauli zako za mwanzo
Kwa hio jamii forum walengwa ni watanganyika baadae semeni wenyewe ni wakristo baadae semeni wenyewe chadema hakika hii dhambi utatumaliza watanzania kwa ujinga wa watu wachache tu
Wapo marais wanashindikizwa na wakafata na sio kikwete huyu ni rais anajua nn anachokifanya ni kweli wizi umizidi maisha magumu uwajibikaji haupo na rais anajua mtu wa mwanzo kupelekewa repot ya CAG ni rais na aliisoma na maamuzi ameshafanya bado kuyaweka hadharani tu kawaida ya rais wetu hama...
Mvungi huyo afisa kakudanganya sheria iko hivi kwa mafao ya uzeeni anaestahiki ni mwanachama ambae amefikisha umri wa kuzaliwa wa miaka 55 mpaka 60 mfuko wa zanzibar una mafao 3 tu kwa sasa yanayolipwa fao za uzee, ulemavu na magonjwa, na fao la warithi sasa sijui wewe ulikuwa unadai fao gani...
Ndugu nilikuelewa sana lkn usiupotoshwe umma kwa ufahamu wako mdogo rudi kwenye katiba yetu ile ya muungano wapi palipoandikwa kuwa unguja na pemba ni miongoni kwa mikoa ya tanzania iheshimu ile nchi kama unavyojiheshimu wewe iliyokufa ni tanganyika na sio zanzibar na kuhusu umri wangu nafikiria...
Mtoa mada ulipoandika thread hii kama ni mvulana nawasiwasi na jinsia yako huenda ukawa boflo au chakula cha watu kwani kule kwetu neno magwero maana yake ni ushuzi wa ****** na kama ni msichina unatumia mfumo dume kustarehesha wenzio, kama hujui waulize wenye kazi zao rais hashurutishwi na mtu...
Wanatakiwa kuchaguliwa kupitia vyama ni wabunge 9 kutoka tanzania mgawanyo uko hivi wa wanaume CCM bara nafasi 3 na visiwani nafasi 2 na wanawake bara nafasi 2 ambazo zinagombewa na wana ccm 6 na CUF 1 na visiwani moja ambao ni mgombea namba 6,8 na 10 anatakiwa mmoja na vyama vya upizani...
Kwa CCM ni sawa kila mtu alikuwa na haki ya kugombea hakuzuiliwa mtu kwa kule zanzibar wanaume waliongombea walikuwa 8 wawili wakatolewa na kura zilizopigwa na wabunge wa CCM na kuna kila sababu ya kutolewa la kwanza uzowefu mmoja ndio kwanza amemaliza shule mwaka jana postgraduate na miaka yake...
Naona hali inakuwa tete ni vigumu vijana kuelewa wazanzibar wameshasema wazi wanataka kura ya maoni kuhusu muungano ili wapige kura kama wanataka muungano au hawataki na wengi wa hao wanaotaka kura ya maoni ni vijana na hili limo ndani ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania ya sasa kwa...
The eagle usiumize watu vichwa wewe ukiwa ndio msimamo wako hata ashuke nabii issa leo a.s huwezi kuamini kwani huwa ndio msimamo wako lkn msimamo hubadilika kwani ndugu zangu baadhi ya watanganyika wezangu tatizo nn kwenye hii ratio watu hushidana kwa hoja na sio idadi ya watu kama idadi ya...
Si kila kikwete atachofanya ujue wewe au imekuwa kosa kujua wewe kuwa kikwete katoa msaada wa mil 10 kwa kanumba unataka kuwa msemaji wa familia ya general kyaro nenda kawaulize basi kikwete kafanya nn na mazishi yake yatawakilishwa na kiongozi gani serikalini halafu uje utujuze naona limekuuma
Ndugu mtoa mada ulipaswa ujue kwanza nn madhumuni ya marekebisho ya katiba ya muungano. Baada ya hapo ulipaswa kujua nn muungano wa jamuhuri ya tanzania na baadae ndio uandike thread yako. Elewa kwamba katika marekebisho ya katiba ya muungano na sio tanganyika kama mchangiaji mmoja alivyochangia...
Cha chuo kinapatikana unanatakiwa utagaze kwenye gazeti na baadae uambatanishe hio nakala ya gazeti na uwaandikie barua chuo husika kwa taarifa ni vizuri akaambatanisha na copy ya vyeti husika kama anavyo na vyeti vya form 4 na 6 waandikie necta atajibiwa kwa barua na wanatoa msaada kila wakati...
Ndugu watanzania wezangu hebu tujifunze kuelewa na kuthamini kile tunachokisikia ndugu mtoa mada kwanza yapaswa uelewe lengo la mkutano ule lengo la kwanza Mh Rais aliamua kutueleza uma wa watanzania chanzo cha mgogoro ule na hatua zilizowahi kuchukuliwa jee wewe kwa nafasi yako uliwahi kuelewa...
Elewa kuwa tanzania ni nchi katika miongoni mwa nchi 258 zilizomo kwenye uso wa ramani ya dunia pia elewa taifa la tanzania ni miongoni mwa nchi 196 zinazopeperusha bendera yake umoja wa mataifa (UN) pia elewa kuwa tanzania nchi miongoni mwa nchi 54 zilizomo ndani ya bara la afrika.
Jee kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.