Wanabod habar za majukumu.kwanza nitangulize shukran kwa msaada wanaopata watu humu kuhusiana na maswala haya ya kisheria.nakuweza kupata muongozo wa kutatua matatizo yao.
Mimi nina ndugu yangu yeye na mkewe hivi mwezi ulopita ndoa yao iliingia dosar kwa jamaa kufumwa na sms za mwanamke na...
Assalam aleykum wanabody,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mwanzoni mwa mwezi huu nilitoa bandiko la kutafuta mke wa kiislam hapa japo nilipata pm kadhaa lakini hakuna aliyekua serious kwa ndoa.
Nimeamua kurudia tena tangazo langu kwa atakayekua tayari tukutane pm,sifa za...
Wandugu habari za leo,
Jamani mimi natafuta mwanamke umri kati ya 19-30 awe Muislam awe anajua maana ya maisha awe mpambanaji wa kutafuta maendeleo hata kama bado hajayafikia. Awe tayari kuingia kwenye ndoa baada ya taratibu nyingine kukamilika.
Please aliye serious tuwasiliane pm for more info
Habari wandugu.
Itakumbukwa siku chache zilizopita nilikuja humu kuomba ushauri baada ya kutoswa na mwanamke ambaye tulishafikia sehemu nzuri katika mahusiano yetu.
Kwanza napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru wana mmu wote walionipa ushauri hapa na wale walioni pm.
Nashukuru sana kwani...
Habari wandugu
Leo nimekuja hapa kuomba ushauri baada ya kuumia sana ndani ya nafsi mpaka sasa sitamani tena mapenzi.
Kifupi nilibahatika kumpata binti kupitia hapahapa Jamiiforums.
Kiukweli mwanzo tulipendana sana na kwa upande wangu alinisaidia sana pale ninapopata shida iwe inahusu fedha au...
Habari wakuu?
Sina shaka muko pooouw wote humu ndani.nimeferah sana kuona bado cc inadunda kama kawa mimi mr mkiva nilipoteapo humu kwa muda sasa tangu pale muda mfupi baada ya kupata ndoa halali na mke wangu pretty.lakini yote nikutokana na majukumu kubana sana japo nimekua nikiingia jf mara...
Wanajamvi habari za leo.bila shaka muko pouw.
Baada ya kumaliza hekaheka za jana za uchaguzi sasa niwakati wakurudi kulijenga taifa letu changa lililojaa kila aina ya uozo.
Nikirejea mada.nilipata nafasi ya kutembelea kampuni kadhaa zinazoendeshwa na wawekezaji wa kihindi na china.katika...
Nimekumiso mpenzi wangu japo niko mbali kikazi ila hisi upendo wangu kwako.nimekukumbuka sana.kesho narudi home walau nije iona sura yako tu nitarizika.i love u so much my preety.mwaaaaaaaaaaaaaaaah
Ndugu wanajamvi husika na kicha cha habari hapo juu.baada ya kutimiza mashart na vigezo tulivyopewa na uongozi wa cc kukamilisha ndoa yetu,naomba ku2mia nafasi hii kuwatangazia kua ndoa hii itafungwa tarehe 27.12.013 baada ya boxng day.ukumbi mutajulishwa na kamati.asante nawakilisha.
Cc baba...
Ndugu wana cc poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.kichwa cha habari kimejitosheleza.lakini naomba kutoa muhtasar kuhusiana na ndoa kati yangu mimi mkiva na mchumba wangu preety.mimi na preety tumefikia maamuzi tunayoona ni stahki ya kuish kama mke na mume.na wote kati yetu hakuna ambaye...
Habari za leo wanajanvi?poleni na hekaheka za kumalizia wkeend.baada ya kusugua banch la ubachela muda mrefu na kuona watu wanavyojilia vyao humu ndani.nikagundua kua lile chama la wasiooa/kuolewa nahtaji nilikimbie.ila tatizo likawa kumpata anayefaa ambaye hajachezea talaka au ndoa zile za...
Wakuu salamu natumai muwazama kama mimi kiafya na munaendelea kusukuma gurudumu la maisha kama kawa.baada ya kurejea ndani yakijiji kutoka huko ughaibuni siku kadha zilizopita nilifurah kuwakuta na mukanipokea.badae ilinilazimu kutembelea vijiji vingine kuwasabah ndugu na jamaa kama ilivyo...
Habari wanajamvi kwanza poleni hang over za kuanzia jana na bado makamuzi yanaendelea.mimi tangu nimerudi kijiji hiki cha jfplus nimekua mpweke sana kila ninapojaribu kuangalia kimwana chakuopoa nakuta tayari nimali za watu.nimeona bora nijilipue natafuta kimwana aliyeko single ajitokeze kwa...
habari wakuu polen namajukumu.kuna rafiki yangu alikua na mke na mtoto 1 huyu mwanamke alimuoa baada ya kupata mimba inamaana walikua marafikitu kabla.na walikutana huku mjini jamaa mchaga mke mjaluo sasa jamaa kutokana na kipato kua
duni alishindwa kwenda kwao kwa mudahuo.ila aliongea na...
hodihodi mkiva nimerudi babu shikamoo wakubwa habari zaleo.nimerudi tena bana ya kumaliza vikao vya mchakato wa tanzania tuitakayo sasa nipo likizo.nimeona nivema nirudi kijjn chitchat nikale bata pia nikaendeleze harakati zangu za kumuopoa mtoto elzabeth maico kama bado hajaopolewa.nakama...
ndugu watanzania kwanza niwatakie heri ya w.kend.moja kati ya hutuba nying za viongoz wa chama na serikali ya ccm akiwemo rais kikwete na viongoz wengine nikukuza soko la ajira kwa vijana.nikweli vijana weng hawana ajira nimechukua muda mwing kufatilia ajira zipatikanazo arusha kwa muda mchache...
nahitaji kujuzwa warembo masingo waliopo humu.baada ya mbio zangu kwa elizabeth dominic kugongo ukuta sasa nahtaji wakunituliza.lakini naogopa kuvamia wenye ndoa zao nisije pandikiziwa zinga la bush mie.tafhadhali baba v na kamati yako ya mahusiano naomba ushirikiano wenu.nb.kama yupo aliye...
habari za leo wakuu
Nimemiss nyumbahii kwa siku kadhaa.hii ni baada ya kupata ajali ya gari maeneo ya oldonysambo wiki mbili zilizopita baada ya gari yangu kupasuka gurudumu la mbele na kuacha njia.nashukuru mkanda ulinisaidia sikuumia sana zaidi ya kupata majeraha ya kukatwa na vioo.kwa muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.