You are very right mkuu,mikataba mibovu yote Tanzania imesainiwa na wenye njaa? Wale wanaosaini mikataba ya kishenzi kuwaumiza wananchi tena wanasainia Hotelini na muhuli uliobebwa mfukoni nao wana njaa? Migodi yetu,maliasili na rasilimali kibao zinawekwa Rehani kiajabuajabu tena na watu...
Mkereketwa mambo uliyaongea ni sahihi kabisa,mbaya zaidi hata vyuo vikuu vinavyozidi kuanzishwa bado mambo ni yaleyale ofcourse hii ni changamoto sasa nini kifanyike kuokoa kizazi hiki cha wasomi wasio na ajira na wanaoishia kulipwa mishahara ya 300,000 hadi 500,000 na hawa waajiri then serikali...
CHANDIRA unadhani ni kwa nini hili suala halipigiwi kelele,je watanzania tumeridhika? Ni kwa nini wadau hawalioni hili na hali inazidi kuwa ngumu kwa wahitimu wetu wa elimu ya juu kuendelea kuwa ombaomba na watumwa wa wachache?
Wadau hivi ni kwanini elimu ya juu Tanzania haimuwezeshi mhitimu kujiajiri pindi amalizapo masomo yake,matokeo yake anazunguka mtaani miaka na miaka na vyeti vyake anaishiwa kudhalilishwa na thamani yake kama msomi haionekani tena? Mfano muajiri anahitaji wafanyakazi 10 anaita watu 150 au 100...
Mkuu kwa dar hata 1kg tunakuletea bt usiwe mbali sana na mjini,Tupo pia Tanga,Morogoro na Dodoma.Unaweza pia kuangalia post iliyotolewa na Sojochris katika ukurasa huu utapata details zaidi.
Thanks mkuu,huduma ina cover mikoa ya Dar es salaam,morogoro,Tanga na Dodoma.Ofisi zetu ziko hapa dar es salaam posta mpya jengo la mavuno (MAVUNO HOUSE),Magari yenye fridge yapo kaka na transport cost ni juu yetu inategemeana na kiasi unachohitaji.Karibu sana mkuu
Wadau mimi nina supply fresh meet(beef) kutoka kampuni ya ranchi za taifa (NARCO) nyama yenye ubora na usalama kwa walaji kwani inaandaliwa katika mazingira mazuri kuanzia ufugaji hadi uchinjwaji.
Nina categories zifuatazo.
BEAF STEAK 1KG TZS 7,500
BEEF FILLET TZS 8,500
JEMBE (BLADE) TZS...
Siasa za sasa zimejaa jazba,mtu yeyote akijawa jazba aweza kutamka neno lolote na akaona ni sahihi.Swali ni kwamba,je ni kipi kinachowatia jazba? Hofu? kama ni hofu wanamuhofia nani na kwanini? Its time for the peoples(majority) choice to be respected,Tanzanians are no more the Same.Wakimaliza...
Sad news,sorry to the victims and may God give you strength to overcome.With time everything will be fine but we must learn and let not this misery happens repeatedly within education institutions in the country.
Only wise people can understand this game.Someone must be excluded intensionally and no body in the CC is ready to bear the burden to speak out WHO so auromatically u'll see WHO is their (CC) choice.Only voters can prove them wrong by voting for the right candidate as MP among all party...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.