Habari za kazi ndugu na jamaa, nina kitu naomba tusaidiane uelewa maana nimetafuta majibu mpaka sasa nashindwa kuelewa utofauti, nauliza ivi kuna utofauti gani kati ya police na army?
Maana nikisikia jeshi la polisi najua polisi ni jeshi mara naambiwa polisi sio jeshi yaani nashindwa hata...
HABARI NJEMA KWA WATU WOTE.
Habari Yako Ndugu,,, Nimatumaini Yangu Kuwa Unaendelea vyema😀.
Leo Tumekuja na ujumbe mzuri kabisa kwa Wale wote ambao wanamalengo makubwa katika Biashara Kwa kutumia Microsoft Excel ku Control Biashara zao, Natambua wengi Sana Wamekuwa Wakihangika katika kutafuta...
Habari za kazi wakuu,
Nimekuwa nikitafuta alternative ya kikuu kuachana na aliexpress kwani kikuu vitu vunawai derived lakini tatizo bidhaa nyingi hakuna hasa za electronic na aliexpress zipo ila kununua mizigo ije kufika jau na unakuta resistor unanunua kwa $2.
Lakini ili mzigo uwahi mpaka...
Habari za kazi wakuu nategemea mko wazima wa afya na heri ya skukuu, baada ya muda mrefu kutumia PC zenye slot ya SIM CARD bila kuwa na WWAN adapter juzi nilifanikiwa kupata new pc yenye iyo port pia ile adapter ipo, sasa kataka windows drivers zilikuwa zimemiss nika update ikasoma ila likaja...
Habarini za kazi wakuu, nina siku mbili tu toka nime switch from windows 8 to 10 kwaajili ya software ya Solidwork lakini nilicho kutana nacho ni matumizi makubwa ya data bila mimi kujua kwani ndani ya siku mbili zimetumika GB 9 bila mimi kudownload wala kuplay chochote mtandaoni. Naombeni...
Kama kinavyo jieleza kichwa cha habari hapo juu, ninafundisha utengenezaji wa flower vese wa gharama nafuu ya Tsh 2500 tu kwa mtu mmoja. Ufundishaji ni through WhatsApp na Telegram kutegemeana na Platform gani unapendelea.
Kama utakuwa interested unaweza nicheki WhatsApp kupitia namba...
Habarini za muda wakuu. Naombeni mnisaidie kunielewesha maana nimejisajili nacte ili nifanye application ya diploma kama zinavo onekana kwenye guidebook yao lakini baada ya kulipia nakuta course categories zilizopo ni Health and Allied Science na teaching lakini zile za diploma in engineering...
Habari za jioni wadau. Ni siku nying hatujapeana salamu.
Ninauhitaji na vitabu vizuri vya electronics vinavyo elekeza jinsi ya kusoma electronics na ku design
Kama naweza pata sehemu au kwa mtu. Naitaji hard copy ivo kama kuna sehemu wanauza plz naitaji kupafahamu
Msaada wakuu, juzi nilikuwa napitia MUST prospectus nikakutana na iyo course ya MechTronics sasa nimepata maswali mengi kuhusiana na hii course bila majibu
1. Hii course ina contains both mechanical na electronic au ni parts tu.
2. Fields zake ni zipi?
3. Na je kuna chuo kinachotoa Bachelor...
Habari za muda wanajanvi nilikuwa nataka nifanyie project moja ya Ku produce hologram images ( three dimension ) ila sijui pa kuanzia nikajaribu ku google lakini sijapatà good explanations ivo nimeona ni bora niulize umu ndani ili na wengine wafaidike kwa majibu mazuri na yenye mafunzo yatakayo...
Habari za jioni wakuu naombeni mnisaidie njia rahisi kutumia niweze kuondoa password kwenye HDD maana nimepewa mwenye nayo pia kasahau sasa nataka niipige window
Wakuu naombeni msaada maana Google nimesearch leo wiki ya pili bila jibu yani sijapata jibu wala app ilofanya kazi pleaze najua wenye shida hii tupo wengi ivo tunaitaji msaada wa mnaofahamu, simu yango ni Vodafone smart bomba, model ni VFD 301, android version ni 6.0 marshmallow.
Pls: najua...
Google is not going to drop Java for Android. Google is going to drop Android. Google announced a new operating system that they have been working on: Fuchsia.
Fuchsia is an open source, real time OS that was announced in August 2016. Unlike Android, it won’t be Linux based, instead it will...
Habari wana JF toka selection zimetoka mpaka Leo kichwa changu hakijakaa sawa, shida nilo nayo ni kwamba nimepangwa PGM ifunda tech lakini asilimia kubwa ya walimu ya shule nilomalizia wananambia kuwa hii combi haina maana ivo nikabadilishe ila hawanambii sababu ivo nikaona sio mbaya kuja kuomba...
Habarini wakuu, wikiendi nzima mpaka Leo nimekuwa nikihangaika na project ya kutengeneza portable lab power supply and universal power adapter
Katika project yangu hii Nilikuwa nikitumia Dell PS-5301-7D ambazo ni toleo la zamani kidogo kama 1998 mpaka 2000
Power supply hii huwa haiwaki mpaka...
Antivirus Firm Kaspersky launches Its Own Secure Operating System
The popular cyber security and antivirus company Kaspersky has unveiled its new hack-proof operating system: Kaspersky OS.
The new operating system has been in development for last 14 years and has chosen to design from scratch...
habarini za asubui nilikuwa na shida moja ivi siwezi ku convert dynamic ip address nayopewa na isp kuwa static ip? na kama haiwezekani. nawezaje pata static ip address na bei inakuwaje? pia ni mitandao gani wanatoa izo huduma na malipo inakuwa kwa muda gani?
Habarini ndugu na jamaa mimi ni candidate ninae subiri post za skuli
ninaitaji materials ya masomo hayo Physics, Chemistry, Biology na BAM
kama unavo nifate PM tuongee biashara pia kama kuna njia naweza pata vitubu vya
S Chand pia itakuwa poa maana nimetafuta online hadi kichwa kimechoka.
au...
Habarini wana jamvi kuna kitu kinanisumbua hapa
mimemaliza form four mwaka jana na matokeo ni kama hivi
S1049/0063
M
20
II
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'C' AGRI - 'D' B/MATH - 'D'
sasa nilikuwa nauliza naweza pata nafasi chuo cha DIT au...
Habarini wana jamvi
shida yangu ni kwamba nina website natengeneza lakini shida ni kwamba code za kufuta au kuremove product kwenye cart zinagoma kufunction na button aifanyi kazi msaada wanajamvi juu ya hili website ni hii Easy Business
na code ni hizi
<!DOCTYPE>
<?php...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.