Mmh!wewe utakuwa:
1:-una mtindio wa ubongo,au
2:-ndo walewale wanaogomea sensa hadi nao pia walipwe posho..au
3:-Unafikiri kwa kutumia masaburi.
Chadema kimesababisha mauaji wapi?lini?
Uko kinyume na watz wote wanaolaani police kutumia nguvu kupita kiasi na kusababisha mauaji.
Wewe ni...
Mungu hajalala wala hajasinzia...anaona kila kitu kinachoendelea duniani.Enyi polisi muuao watu kwa kisingizio cha kuandamana/kukusanyika bila kibali huku kibali mkitoa wenyewe mtakiona..Mimi c Mungu lkn Mungu yupo hata kama humwamini...atakuhukumu hapahapa duniani....si miaka kumi ijayo ni...
Kupe;utajinyea bure mzee wakati tumbo hauumwi wewe...wewe na magamba wenzio punde mtageuka chama cha upinzani kilichopoteza mvuto kama KANU...haiwi rahisi kuamini kuwa sasa zama za magamba zimepita ila wewe ni kati ya abiria wachache mnaoisindikiza meli ya ccm hadi kutia nanga kwenye kina...
Yaser wewe ni gamba na gambani utafia....yaani unataka kuuambia ulimwengu kuwa huyo jamaa kauawa na cdm?mbona hata mtoto wa chekechea anajua ndg yetu Mwangosi kauliwa na nani...au wewe hata chekechea hukufika?ukaja kusoma kile kisomo chenye manufaa..cha chini ya mti..a.k.a memkwa..a.k.a ngumbaro?
Huyu ni walewale wenye fikra chovu...sijui anamwambia nani hapa mwenye akili kama zake?yaani watu kama hawa ukisoma thread yake tu unajua alivyo..uvaaji wake,mlo wake,elimu yake nk.........ila ujumbe wake utawafikia watu wa aina yake tu.........lkn c wenye akili.
Tuendelee kusubiri....ili tujue ukweli.Hata waliokwisha kutwaliwa kwa njia ya risasi za police walikuwa wanasubiri kujua ukweli....lkn wao ndo wakawa ukweli unaofuatia.
Asubuhi ktk kipindi cha patapata nilimsikia kamanda wa police Iringa........Kamihanda akilisafisha jeshi la police kuwa halihusiki na tukio la kifo cha mwandishi wa habari Daudi Mwangosi aliyeuawa kwa kitu kinachosadikika kuwa ni bomu ktk kijiji cha Nyororo-Mufindi.
Ktk utetezi wake,RPC...
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekuwa kawaida kwa waasi kujiita majina tofautitofauti mfano Maimai,Banyamulenge n.k!Sasa wengine wameibuka;wanajiita RAIA MTOMBOKI.
Nilikuwa najua mkuu,lkn sasa nimejionea mwenyewe.Si unajua vile tulikuwa tunakuwa indoctrinated na mutoto ya mukulima,na raisi wa Msoga?Kwamba madokta ni waroho;wanataka mshahara wa kumzidi hata rais!
Ukisikiliza vyombo vya habari vya CCM na hotuba ya mh rais aliyoitoa juzi kwa watz,utaamini kuwa madaktari wana dai moja tu kubwa;mishahara mikubwa!Huku ni kutublackmail na kutugombanisha wananchi na madokta!Naamini wapo watu ambao wanawaona madocs kama wasaliti.
Hata hivyo,jana pale Muhimbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.