Kinachonishangaza ni ujasiri wa huyo mama, yaani mpaka kapata muda wa kushirikisha watu? Aisee kwanza siku hiyohiyo ningewapeleka hospitali ili zitolewe kwa utaalam mkubwa sana.
Baada ya hapo ndiyo nianze kujiuliza kweli mimi ni mtu wa dini kweli? Ambaye nimeshindwa hata kuwapa wanangu elimu ya...
Haswaaaaa hapo umenena kabisa, kipindi hiki tusahau huo upande kabisa. Vile watu wapo majumbani ni rahisi zaidi kufanya ngono zembe. Hasa tuwe makini na vijana wetu.
Nimepata darasa hapo kwenye nyanya, niliwaza kuhusu kuharibika. Asante sana shoga.
Ila vipi mfano kwa ambao hawana friji au kukitokea changamoto ya umeme
Swali langu linajikita zaidi kwa siye tulio hali ya kati na chini ambao hatujazoea kuhifadhi vyakula. Kuna wengi hatujui vyakula gani ni muhimu kuhifadhi na visivyoharibika haraka.
Habari wakuu,
Moja kwa moja nijielekeze kwenye hoja ya msingi. Nahitaji elimu itakayotufaa kipindi hiki cha kujihami na janga la COVID-19.
Je, ni vyakula gani tunapaswa kuhifadhi ili visaidie kwa kipindi kirefu zaidi tutapokuwa majumbani kwetu.
Kwa kuongezea pia ni vitu gani muhimu kuwa navyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.