CHADEMA ni waya wa umeme CCM wameukalia wataona utakavyo wachubua magamba ambayo walishindwa kuyavua Dodoma hilo ni gamba la kawaida sana sidhani kama linatabu kulichubua. Duuuuu kwa idadi hiyo ya watu wenyewe nadhani wamekubali DISCO la chadema ni vema bwana Tendwa akamkabidhi kijana jimbo...
Inasikitisha sana kwa tuwazaniao kuwa ndiyo wakombozi wa afya zetu kuendeleza upompompo kwa kiasi hicho cha kuendelea kuangamiza afya na uhai wa watu.Mara ya kwanza mlifanya upasuaji wa kichwa mkapasua mguu na wamguu mkapasua kichwa mkasema ooohoo cjuh kakaenda kakarudi Je na huyo mtoto...
Hivi nawauliza watanzania ni chama kipi kati hivi vya siasa tulivyonavyo kitatusaidia kupiga atua kiuchumi ama ni siasa zipi zinazotufaa sisi ili zitusaidie kutoka hatua moja hadi nyingine?
kwani BALALI unazani amekufa basi ule ulikuwa uzushi ili mambo ya uchotaji wa fedha benki kuu yaani EPA usibumbumbuluke.Ingekuwa kafa kweli mbona ndugu zake walikataliwa kwenda kwenye mazishi.
Minashangaa kwanini jeshi la polisi linaacha kumkamata sitta juu la suala zima la mwakyembe kwani yeye anaonekanakulishikia kidedea jambo hili ile hali anahuwakika zaidi.Mtamwacha alopoke mpaka lini au serikali mnajua mnatakakufanya undangnyifu kama kuwa BALALI amekufa? acheni masiala na maisha...
Awali ya yote napenda kuwapongeza na kuwapapole kwa ujenzi wa taifa letu tulijengalo kwa hisia tukitumai kwa ndoto kwamba litaendelea kwa midomo tu ya wanasiasa walioishiwa mbinu na kubaki na mbinu za kundelea kutuibia na kujipangia madalaka kwamba baada yautawala wangu kuisha utafuata wewe bila...
kazi nzuri na nawapapongezi kwa jitihada zenu za kutaka watanzania siku moja wawe na maisha mazuri. kwani mmekuwa mkiwasaidia hawa ccm ili kupitia ninyi waweze rudisha imani yao kwa wananchi juu ya yale waliokuwa wakijitapa kuwa watabolesha maisha y kila mtanzania lakini kinyume chake wamekuwa...
Daaaaaaaaaaa! tumekwisha kama hizo posho wanapeana kimyakimya bila kusainiwa na RAIS. na huyo mtoto wa mkulima ndio anaziunga mkono kwa macho yote Eeeeeeeeeeeeeehe.
Hivi ni kweli maendeleo ya nchi na wananchi wake hutegemea siasa za nchi husika Je ni kweli ama ndiyo janja ya kutaka kutuibia?
KITU KINGINE KWANINI WANASIASA HUPENDA KUJIKOSHA KWA WANANCHI PINDI CHAMA CHAO KINAPOKUA KINASHHUTUMIWA NA WANANCHI HASA JUU YA UFISADI MFANO MZURI SAMWELI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.