Nafikiri kwa busara zangu, tuokoe taifa letu kwanza kwatumia hao watuhumiwa alafu tukiamalizana na hao wafisidi wakizungu ndio tuwarudia hao ndugu zetu wasaliti, hii imeshakua vita ya kiuchumi ndugu, hao jamaa wakizungu wako vizuri, waliyajua haya yatatokea tangu miaka hiyo, chochote tutakacho...
Nafikiri Ana Makinda anajua uwezo wakufikiri nakutoa hoja kwa baadhi ya viongoz wetu wa serikali ni mdogo akaona wanahitaji siku nzima, kesho tutaambiwa tume imeundwa, sijui wakati wanawatwanga mzee Lipumba na wafuasi wake kuna tume iliundwa.
Kwa mpumbavu atachukua kiti cha Muumba cha hukumu, kwa mwenye hekima atakimbia uso wa Muumba kwakujipima kiasi cha uovu wake yeye mwenyewe kabla ya Mungu kunyoosha chanda chake. Unaye muhukumu askofu kakobe na uhakika wewe ni mpumbavu kwakua hata uhakika wa kua kesho utakua salama huna unakujaje...
Kinacho uma sio wachache kujichotea hayo madafu bali ile hali ya Watanzania kuridhika na ugali na kupande cha papa, wao hawaitaji mabafiliko yaani wamekata tamaa kabisaaaaaa. Na fikiri viongoz wa dini wabadilishe mafundisho, wawa watu kutogombania hak ya maendeleo ni dhambi labda itasaidia.
Hawa watu wamekua wezi mpaka wamekua vipofuu kabisa, kama Mungu wewe unatoa haki hapa duniani basi fanya haraka kuitoa hiyo haki ili na sisi wanyonge tupate faraja kua tuna mtetezi.
Kijana kuamakini na nia zako, hii si sehemu za masihara tafadhali, hapa nisehemu ya watu walio makini na kujiheshimu. Kama unaona kazi hamna manaake shule ndogo au huna uzoefu basi ksjifunze upate uzoefu au rudi shule.
Ndugu nikweli busara zako zimeishia hapo??? Je umeongea hayo kwakile unacho amini au research yako kua kusoma kua profesa kunaongeza idadi ya watu wasio jua kituu?? Kunashida kwakweli!
Baba Riziki hajiamini, hata hvyo yupo kimasilahi aje kwa vijana wampe hoja zenye akili achemke!!? Mpango mzima 2015, baba Riziki hana inshu tena, kacina.
Shida ya watz wanaopenda mipira ya kona hawawez kumkubal EL kwasababu wanaamini akirudi mtandaoni mirija itakatwa, na ndiomaana hatapalipo pachafu wanafunika shela la harusi badala la ya sanda.
Mzee Nyerere alishasema, misingi ya maendeleo katika nchi yoyote, siasa ni moja ya misingi hiyo, lakini alianisha siasa safi na sio siasa chafu au siasa uchwala inayofanywa na baadhi ya mahaini(watu wa chache walafi wa mali na madaraka) wa nchi hiii. Nachelea kusema Tanzania amka, toka...
changamoto muhimu kwenye biashara! hata hivyo pakstan watakua wanauzoefu wakutengeneza cement nzuri kwasababu ya uzoefu wao wakuziba matundu ya risasi kwenye nyumba zilizo koga mvua za risasi kutoka kwa wakaidi(just a joke)!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.