. Haichukui muda week tu ukikamilisha kila kinachotakiwa mimi hapo nilipeleka maombi 28/04/2016 nikaenda tarehe 10/05/2016 nikachukua hati yangu.Sijampa mtu hata mia mbovu zaidi ya ada kama inavoonekana kwenye picha hapo juu!
kumbuka mbali sana na hizi ngoma asante Mtumpole kwa kuziweka, gabby katanga anapata ajali redio zikasema ni mao santiago ila all in all hawa jamaa walifanya yao enzi zao
Isamilo wanayo wi-fi kama ww ni msafiri wa Dar Mwanza jaribu utajionea mwenyewe,kwa sasa wamekamata sana soko la hii njia maana wanafunzi wa SAUT wanaligombania kama pipi hilo bus
Kuwashtaki inawezekana ila evidence ndio tatizo so inabidi pale unapopata tatizo unaweka kumbukumbu yako binafsi kuwa siku flani tarehe flani nilikatwa kiasi fulani ukiwapigia simu unajirekodi mana wana empty promices sana wale wahudumu watakuambia piga baada ya saa 24 itakua tayari so ww...
Hyo ni eazy sana na wa2 tumeanza kutumia toka mwaka jana ww umejua leo unataka kujikuta expert kumbe ni kitu cha kawaida ni unaenda kwenye options then tcp ip unaenable kwa kueka tick then kwa chini unaandika INTERNET af una reboot device yako kwa kuchomoa betri kama ikizingua badilisha line af...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.