Mmmmmh hiyo ya mashariti Mimi sitoiweza. Ebu leta biashara ya kusimamia mwenyewe bila kujiunga sehemu kwa mfano kilimo, aina, wapi namna ya kufanya. Au ufugaji, aina, wapi namna ya kufanya, au duka, wapi, aina na namna ya kufanya.
Nauza gari aina ya Toyota
Model: Nadia
Year of Manufacture: 2000
Engine Capacity: 1990
Fuel Used: Petrol
Seating Capacity: 05
Color: Silver
Mileage: 88043
Registration number: T 326 DDS
Ni ya kwangu mwenyewe
Bei ni Tsh: Milioni 10
Tunaweza kuongea na kuelewana tofauti na hapo.
Mawasiliano...
Hili ni jukwaa zuri katika kuelimishana, wadau ukiwa na milioni nne hivi unaweza ukaanzisha biashara ipi hasa Dar es Salaam au maeneo mengine mikoani na kweli baada ya miaka mitano utasema kweli nilichelewa kwa faida ambayo utakuwa umeipata?. Mawazo Wadau ili tuelimishane.
Somo.
Masikini anapouchukia umasikini wake ni jambo zuri sana.
Masikini anapouchukia umasikini na kuwachukia Matajiri bila sababu yoyote inafikirisha sana.
Ukiwa masikini na unauchukia umasikini haswa wakati hup huo unawachukia matajiri bila sababu za msingi jua kuwa unasafari ndefu sana...
Tuutengeneze uzalendo katika muktadha wa Utu.Ubinadamu.Umoja.Upendo
Uzalendo ni kupendana watu wote.
Naona kampeni za kuhubiri Uzalendo zimepamba moto nchini mwetu hasa katika viongozi wakuu wa kitaifa. Ni jambo zuri kusema kweli.
Kuhubiri Uzalendo Kitaifa ni jambo zuri sana sana. Lakini...
Tafakuri
Kwa nini nguvu (power) zinafaida kubwa kwenye maisha yako binafsi na hata kwenye Taifa lako?
Wote tunajua kwamba Yesu Kristu bila kupewa uwezo na nguvu kutoka kwa Mwenyezi Mungu asingefanya miujiza aliyoifanya. Kwa sababu ya nguvu aliweza kufanya mambo makubwa.
Na mambo ya Dunia...
Vijana tuepuke sana kulewa na mambo haya matano,
1.Nguvu/Mamlaka/Madaraka/Cheo (Power),
2. Vitu (Property),
3. Ufahari (Prestige),
4. Umaarufu (Popularity) na,
5. Mbwembwe (Pomposity).
Vimeangusha watu wengi sana kabla ya kufikia hata malengo yao.
Usijiona leo una mamlaka na ungali kijana...
Ukifuatilia kimatendo, huwezi kuona sera wala itikadi yoyote ambayo inaendeshwa kwa sasa kati ya vyama viwili yaani CCM na CHADEMA. CCM ili kufanikisha mambo yao ambayo wanataka yawe mara nyingi wakiibuka ni kuwashambulia CHADEMA kwa maneno mengi ya kebehi na vioja vingi sana. Na CHADEMA nao...
Watu Wasiojulikana wanatakiwa watafutwe kwelikweli maana matukio yote haya walihusishwa;
1. Prof.Juan Mwaikusa
2. Dr.Ulimboka
3. Absolum Kibanda
4. Dr. S. Mvungi.
5. Alphonce Mawazo,
6. Ben Saanane,
7. Nnape Nauye
8. Roma Mkatoliki na wenzake
9. Ofisi ya IMMA Advocates na,
10. Tundu Lissu.
Mtu yoyote ambaye anasema hana Chama ni Mnafiki tu kwani ni uoga uoga tu ndiyo unawafanya mseme hamna vyama wakati moyoni nafsi zenu zinaonyesha kuwa mko mrengo fulani.
Tafakuri.
Hizi ni sababu mojawapo kubwa mbili zinazosababisha migogoro Barani Afrika.
1. Kubadili Katiba kwa Matakwa ya Viongozi husika na si Wananchi
2. Kung'ang'ania Madarakani baada ya muda kuisha au kushindwa
3. Nini kifanyike?
Utangulizi.
Migogoro Afrika ni tatizo sugu sana tangu nchi...
Swali langu hili nalielekeza kwa Prof.Lipumba na wafuasi wake ambao ni wengi sana tena sana maana karibu wote wa upande ule wanamuunga mkono. Hivi chukulia wewe ni Mwajiriwa na ukaamua kuacha kazi kwa kujiuzuru hivi, utaendelea kwenda kazini mpaka ujibiwe barua au utaamua kuachana na kazi?.
Eckert, (2007:1), noted that one of the more effective political strategies used by former Tanzanian President Julius Nyerere were his public confessions that he had made mistakes. In the mid-1980s, for instance, he announced:
“There are certain things I would not do if I were to start again...
Kila zama na mambo yake Wahenga waliwahi kunena zamani. Zama hizi, pamoja na mambo mengine kimeamua kitumie neno Uchochezi ili kuthibiti sijui wahalifu. Na neno hili linakuzwa kulingana na matumizi yake kwa vitendo kukua. Nina Maswali kadhaa kwa wale ambao wanaamini katika Uchochezi zaidi.
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.