Search results

  1. A

    Baadhi ya wanawake na mavazi yasiyofaa

    Inasikitisha sana kwamba wanawake wa sasa hivi hakuna tofauti kati ya wa duniani na wa Kanisani. Wengi wao wamekuwa ni kama malaya wanaojitongozesha kila sehemu. Hii imetokana na uvaaji wa kikahaba ulio kubuhu ambao bila kuvaa hivyo wanawake wengi wanaona ni kama hawajapendeza. Kwanini mwanamke...
  2. A

    Sababu za ndoa nyingi kuvunjiika

    Ndoa na Jamii Je, mbona kuna talaka nyingi siku hizi? Sababu ndio hizi, na kuna nyingi zaidi ambazo hazimo katika orodha hii. Wakati huo watu wengi huwa na chaguo la kujiondoa mapema kutoka ndoa hiyo, kuliko kungoja hadi watakapoachwa. Siku hizi kuingia na kuondoka katika ndoa ni kama mchezo...
  3. A

    Wanawake ndiyo chanzo Cha ndoa zao wenyewe kuharibika

    Kama kawaida yangu Sina mengi sana ya KUSEMA lakini hili swala la ndoa nyingi kuharibika huanzia kwa wanawake. Kwanza ndoa ni muunganiko wa mwanamke na mwanaume kuishi pamoja KATIKA mapito yao YOTE na ili ndoa idhibitike LAZIMA kiapo kifanyike KANISANI au msikitini kwa islamu . Inapaswa...
  4. A

    Hali ya watoto wa kike kwenye ulevi imefikia kiwango cha kupindukia

    Sina mengi sana ya KUSEMA ila nachopenda kuwaasa vijana wenzangu tunapochagua wanawake wa kuoa tusiishie kuangalia shepu tu au sura maana ukiishia hapo ni sawa na anayenunua gari iliyopakwa rangi nzuri ila NDANI ni kubovu. Wadada wa sahivi wamekumbwa na pepo la kunywa POMBE kiasi KWAMBA hiyo...
  5. A

    Pete za vidole kwa wasanii wengi ni normal au?

    Nimekuwa nikiwaangalia WASANII WENGI wa bongo flavour na WA mambele HASA kwenye MIKONO yao utakuta VIDOLE vitatu VYA mwisho vina Pete. Pete HIZI huwa zinakuwa na size kubwa ya kutisha lakini kwa kawaida ukiangalia kwa macho tu ya kawaida utagundua sio Pete za ndoa maana za ndoa huwa na size...
Back
Top Bottom