Search results

  1. morphine

    Ushauri: Rais Samia naomba umfukuze kazi Mkurugenzi Mkuu wa TBS mara moja

    Hivi ule mchele ukiungia nazi unakubali au tui linajikata? *nimewaza tu n njaa zangu
  2. morphine

    Mwenye kuzielewa Submeter za Umeme aje hapa

    nimepitia comments kadhaa. kwa hili unalosema kuna sub meter zinapigiwa promo sana hasa social media humu, zenyewe zina mobile app ambayo ni token generator. main meter ikiwa na unit 28 na kuna mtumiaji wa sub meter akaongeza kwa kununua umeme wa unit 7, jumla kuu itakua unit 35 kwenye main...
  3. morphine

    Tupunguze kunisema wazi mno kwa wapenzi wetu wapya

    Vumilieni, hamna maisha rahisi duniani.
  4. morphine

    Wadada wanaofaa kuolewa

    Wavuvi camp [emoji2]
  5. morphine

    Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

    Ngoja tuone mwisho.
  6. morphine

    Waziri Pindi Chana ana matatizo gani?

    mafaili yanazidi kushuka.
  7. morphine

    TANZIA Buriani msanii H.Mbizo mzee wa Nilonge Nisilonge

    Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
  8. morphine

    PEP inapatikana wapi?

    amalizie "kula" tu. Atanawa baadae. pole zake.
  9. morphine

    Maswali Ambayo Mwanaume Hapaswi Kumuuliza Mwanamke

    nimegundua kwenye ndoa maswali yanatakiwa kua machache tu kama ulivyoandika hapo. Tena unaweza jibiwa au laa ukasonywa tu.
  10. morphine

    DOKEZO Uhalifu umezidi sana mji wa Tunduma, Serikali iingilie kati

    Nahisi madini yanafanya mji uchangamke kwa haraka. Maendeleo yanakuja na wivu mwisho kuzaa uhalifu. Serikali inafuatilia hili.
  11. morphine

    Siku Mchina akianza kutengeneza magari madogo ya kutembelea, uchumi wa Japan utayumba

    Mengi left hand driver. Ethiopia wanazo nyingi hasa online taxi.
  12. morphine

    Nimeanza kuzalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu tu

    Jazia ka-bolded line kasomeke "wanaongeza nguvu..." Mwezi mmoja tu, utakua na order zisizokifani. [emoji1787]
Back
Top Bottom