Mbona CHADEMA walisubiri siku Samia kaenda Hanang na wao ndiyo wakafanya ziara the same day?
Hii ni michezo yao hao wanasiasa wanajuana wasitupotezee muda.
Kwani biblia inasemaje kuhusu mashoga na Roma mnaongozwa na biblia au na msimamo wa Papa?
Usijizime data aisee.
Kuhusu yesu kukaa na mashoga hebu nipe reference kwenye biblia ni wapi hapo aliambatana na mashoga
Walaka ulipendekeza bandari isibinafsishwe kwa watu kutoka nje isubiri mpaka wazawa watakapokuwa na uwezo.
Unalikumbuka hilo au zile wiki sita zote mfululizo ulikuwa hausikilizi hapo kanisani kwenu?
Kusema vipengele vimebadilishwa wakati mwisho wa siku DP kapewa bandari hizo ni porojo za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.