umesahau...zile za so n so checked in samaki samaki mliman city au ...was at savanna lounge quality center kila baada ya sekunde...hehee,facebook bana..we acha tuu
habari wanajf!naomba msaada wenu, nina mdogo wng anatafuta kazi aina ya customer service au call center:elimu yake ni kidato cha sita ila akasoma na certificate ya mambo ya customer care+marketing +computer anafahamu pia...anahitaji kujiendeleza kielimu ila financialy hatuko vizur sana i mean...
....wanaepuka kupinga sana bajeti coz wao wakipinga itapelekea mabadiliko makubwa ya kisiasa ikiwemo nchi kuingia katika uchaguzi before 2015 kitu ambacho wanachichiem wanogopa ukizingatia chadema imeshika hatamu sana sahv....huo ni udhaifu mkubwa ni lazma wajikubali na kubadilika sema ndo hivo...
asanteni kwa kutufungua macho katika mambo haya ya kimaendeleo,mimi didnt know these things,nawashukuru sana...sas kwa sisi tusio na hiyo paypal account tunafanyaye?does that mean siwez kujiunga au what shud I do kupata such ac ili niweze kua member pia??thx...
unapata,espc marketing zipo ni juhudi zako kutafuta na kuapply as many posts as utakaziziona au kuskia,hakuna kitu kisichokua na faida au kazi its just juhudi tu ktk kutafuta na kukubali kuanzia chini then upande taratibu mpk ufikie malengo ila kama unatka jus afta graduating uwe meneja pr n...
me hapa cjaelewa kidogo:kwa upeo wangu mdogo sidhan kama am with my bf crying bcoz of his mistakes hafu at the same time yey anasign in jf na kuendelea na chatings zake:coz me cwez et naongea na wew ili kuweka our relationship sawa then wew unachukua cjui laptop au simu na kupm watu lyk me...
me hapa cjaelewa kidogo:kwa upeo wangu mdogo sidhan kama am with my bf crying bcoz of his mistakes hafu at the same time yey anasign in jf na kuendelea na chatings zake:coz me cwez et naongea na wew ili kuweka our relationship sawa then wew unachukua cjui laptop au simu na kupm watu lyk me...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.